Huyu jirani yangu ni kama ndg yangu hivyo analalamika sana, anaugua nafsi yake ila hana jinsi. Jana kaja ananambia mkewe kalambwa juzi ila anajikaza kiume mtego unase.Aisee unajitahidi kufatilia maisha ya ndoa za watu yawezekana unahusika katika kutega huu mtego ...
hata bibi Alikuwa binti...tehhata changudoa anayejiuza naye alishawahi kuwa bikira...!!
aysee!! siwezi fanya huu ubwegeHuyu jirani yangu ni kama ndg yangu hivyo analalamika sana, anaugua nafsi yake ila hana jinsi. Jana kaja ananambia mkewe kalambwa juzi ila anajikaza kiume mtego unase.
Ni ishara. Labda kama unaongelea zile bikira za kulia na chumvi, I mean za watoto wa form one.Ni kweli ila sio ishara ya uaminifu baada ya ndoa.
Watu wengi (sio wote) wanapambana ili waoe mwanamke bikira wakiamini atakuwa mwaminifu tofauti na akioa used.hata bibi kizee alishawai kuwa bikra
ina maana machangudoa hawajawai kuwa mabikira?
mbona mleta mada una akili potofu hivo?....kila mwanamke awe sister ,bar maid ....kikongwe alizaliwa bikra
na tabia ya mtu haiangalii bikra wala nini
hata wanawake majambazi wapo mabikra vilevile
Nani kasema ukioa Bikra hato chepuka? na kajuaje kama Bikra? haya tusingea sana sio vizuri,mwambie ivi rafiki yako
kila mla cha mwenzie na chake pia huliwaaaa,asijitie BP yakutafuta mitego na kujitia aibu sababu hujui nini kitatokea hapo kwenye mitego kama kamchoka wakae chini wa sort sio sawa kufanyiana hivi..
Mkuu ebu fafanua zaidi maana hapa kama ni kweli tumeingia mkenge wengisiku hizi kuna bikira za kutengeneza kwa limao na jivu na tembetembe za habasoda, inawezekana hio haikuwa yenyewe na haikuwa na viwangu vya tbs
Mambo yakiwa magumu haiwezi kuwa siri tena, ni lazima utafute msaada nje ya box.mmh kama kaonja kwa jiran na kasikia utamu upo zaid hataacha hiyo tabia....ila kuchapiwa ni siri ya ndani sasa kwann anakuhadithia au ww ndio ulikuwa mshenga wake