Alioa bikira, miaka 15 baada ya ndoa ameanza kuchapiwa

Alioa bikira, miaka 15 baada ya ndoa ameanza kuchapiwa

Amoxlin

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2016
Posts
3,782
Reaction score
4,118
Habari wana JF,

Kuna imani imetanda miongoni mwa watu kwamba ukioa mwanamke bikira ni vigumu kusalitiwa (mwanamke huyo kuchepuka).

Mwaka 1998 nilihudhuria ndoa ya jirani yangu hapa mtaani ambapo alinihakikishia kwamba yeye ndie wa kwanza kukutana na mke wake kimwili.

Miaka ilisonga na ilipofikia mwaka 2013 jirani yangu huyu aliposafiri kikazi katika mkoa jirani mambo yalianza kubadilika ambapo mpiga kinanda wa kanisani alianza kumnyemelea mke wa jirani na hatimae kufanikiwa kuvunja amri ya 6 katika kitanda cha mmewe.

Siri hii ilifichuka baada ya watoto kumwambia baba yao kwamba anaposafiri huja baba mwingine na hulala chumbani kwake.

Mama jirani alikiri kosa na maisha yakaendelea kama kawaida ila katika hali isiyotazamiwa mama jirani kaingia mtegoni tena na sasa anachepuka na boss flani ambapo mitego imeshategwa inasubiriwa kunasa tu.

Ushauri wangu:-
Kuoa mwanamke bikira sio kigezo cha uaminifu katika ndoa ila mambo haya ni tabia ya mtu tu.
 
Nani kasema ukioa Bikra hato chepuka? na kajuaje kama Bikra? haya tusionge sana sio vizuri,mwambie ivi rafiki yako
kila mla cha mwenzie na chake pia huliwaaaa,asijitie BP yakutafuta mitego na kujitia aibu sababu hujui nini kitatokea hapo kwenye mitego kama kamchoka wakae chini wa sort sio sawa kufanyiana hivi..
 
hata bibi kizee alishawai kuwa bikra
ina maana machangudoa hawajawai kuwa mabikira?
mbona mleta mada una akili potofu hivo?....kila mwanamke awe sister ,bar maid ....kikongwe alizaliwa bikra
na tabia ya mtu haiangalii bikra wala nini
hata wanawake majambazi wapo mabikra vilevile
 
Habari wana Jf.

Kuna imani imetanda miongoni mwa watu kwamba ukioa mwanamke bikira ni vigumu kusalitiwa (mwanamke huyo kuchepuka).

Mwaka 1998 nilihudhuria ndoa ya jirani yangu hapa mtaani ambapo alinihakikishia kwamba yeye ndie wa kwanza kukutana na mke wake kimwili.

Miaka ilisonga na ilipofikia mwaka 2013 jirani yangu huyu aliposafiri kikazi ktk mkoa jirani mambo yalianza kubadilika ambapo mpiga kinanda wa kanisani alianza kumnyemelea mke wa jirani na hatimae kufanikiwa kuvunja amri ya 6 ktk kitanda cha mmewe.

Siri hii ilifichuka baada ya watoto kumwambia baba yao kwamba anaposafiri huja baba mwingine na hulala chumbani kwake.
Mama jirani alikiri kosa na maisha yakaendelea kama kawaida ila ktk hali isiyotazamiwa mama jirani kaingia mtegoni tena na sasa anachepuka na boss flani ambapo mitego imeshategwa inasubiriwa kunasa tu.

Ushauri wangu:-
Kuoa mwanamke bikira sio kigezo cha uaminifu ktk ndoa ila mambo haya ni tabia ya mtu tu.
imekuuuma ???
 
Raha ya ndoa ni kuishi pamoja. Huku kumuacha mwenzako na kwenda mbali unategemea nyg zake azipeleke wapi?
 
Usishangae sana ndugu yangu, mababu zetu waliishi kwa uaminifu sana na kutokuachana mpk kifo kinawatenganisha kutokana kumkuta bibi akiwa bikra..

Kwa kushuhudia kwa macho yangu mara 2 muda tofauti, aliolewa bikra baada ya mwaka mmoja tu wakagombana na talaka akamuacha mumewe aliemtoa bikra akarudi kwa bwana ake ambae anasema ndo walipendana tangu zamani sema wazazi walilazimisha ndoa.

Kitaani best alipooa amkuta bikra na dalili zote alifurahi sana, ameenda kupima ujauzito amekuta wa miezi mi2 wakati ana mwezi mmoja tu ameoa..baada ya miezi km mi4 beste ndoa ikamshinda amerudi kuwa bachelor
 
siku hizi kuna bikira za kutengeneza kwa limao na jivu na tembetembe za habasoda, inawezekana hio haikuwa yenyewe na haikuwa na viwangu vya tbs
 
Yaonekana kiwango cha usakataji kandanda cha jamaa yako kipi chini,sasa binti anatafuta magwiji wamtandike.
 
hata bibi kizee alishawai kuwa bikra
ina maana machangudoa hawajawai kuwa mabikira?
mbona mleta mada una akili potofu hivo?....kila mwanamke awe sister ,bar maid ....kikongwe alizaliwa bikra
na tabia ya mtu haiangalii bikra wala nini
hata wanawake majambazi wapo mabikra vilevile
hahahahaaa
 
hajawai onja zingine hivo aliona aonje maana anapata ya moja tu....ila aliyewahi pata kablaya ndoa ana uzoefu anawezaamua kabisa kutulia maana ataona hakuna jipya mengi kapitia.....(onyo sio guarantee kuwa au kutokuwa bikra ndo kigezo cha kuchepukaau kutochepuka...kuchepuka ni tabia na vishawishi na kutokuwa muaminifu)
 
Back
Top Bottom