Alinizungusha kumbe ana UKIMWI

[emoji38][emoji4][emoji5]CC: GISAMBO
 
Mkuu ukiweka hiyo story yako hapa watasema umetunga. Ila watu wengi sana wenye cases za aina hii huwa story zinafanana sana. Mfano kuna rafiki yangu wa kiume nilipenda sana kumtembelea kila nikienda kwake nilimkuta anatumia plumpy nuts na nikimuuliza anazitoa wapu haniambii kumbe ni mwathirika ila alivokuwa anausambaza ni hatari. Hii story nikiileta majitu yatasema nimeiba story
 

Haya mambo yapo sana mtaani ila watu ni waoga kuyasema na kushare na wengine. Uyu binti namshukuru sana kwa kuniambia ukweli japo mara ya kwanza sikukubali mpaka alivyonionyesha majibu ya hospitali na akanihadithia stori nzima ya kisa cha yeye kuupata huo ukimwi.
 
Kwa sasa MTU anaweza kudhani ni copy and paste. Ila matukio ya kweli yenye ufanano wa karibu sana. Ndiyo maana huwa spendi kuweka threads kwenye jukwaa la MMU maana watu wa huku wamezoea story za kutunga ila zenye ukweli huziweka kama porojo
Kweli imefanana kila kitu na story ya jamaa na yeye demu alienda kuoga akaanza kupekua mkoba wake, kwani hivyo vidonge mtu hawezi kumeza kabisa alafu ndio akaja kwako kwani lazima avibebe kwenye mkoba wake? Hakuna njia nyengine ya kujua demu kama kaathirika zaidi ya kusubiri akienda kuoga upekue mkoba wake ukute vidonge? Next time muwe mnabadilisha jamani ili kuipa msisimko story yako hii tushaizoea
 


Blaza, leta basi hiyo story tupate ma experience. Tushakuelewa
 
Tatizo watu wa MMU wamezoea kudanganywa na vistory uchwara. Wakiambiwa hali halisi wanasema uongo. Jana GISAMBO walimwambia kuwa anatunga story.
 
Blaza, leta basi hiyo story tupate ma experience. Tushakuelewa
Nitaandika jioni. Ila kwa ninavojua watu watatokwa na mapovu mpaka basi. Kwa taarifa tu mimi ninafanya kazi na shirika linalojiahughulisha na maswala ya waathirika hivo nafahamu mambo mengi ya waathirika wa ukimwi kuliko hizi story munazoletewa hapa.
 
Tatizo watu wa MMU wamezoea kudanganywa na vistory uchwara. Wakiambiwa hali halisi wanasema uongo. Jana GISAMBO walimwambia kuwa anatunga story.
Mkuu tumepata funzo hapa.
Wanachokisema wadau ni kweli usiwabishie.
Hii stori ni ya kweli imekutokea na wewe baada ya kutokea ukaona uitungie bandiko lake. Yani tukio ukaliweka kwenye maandishi. Huo si ndio utunzi ?kwa sababu ungekuwa sio mtunzi usingeweza kulielezea tukio na kila mtu akaelewa.
 
Tatizo watu wa MMU wamezoea kudanganywa na vistory uchwara. Wakiambiwa hali halisi wanasema uongo. Jana GISAMBO walimwambia kuwa anatunga story.
Tatizo lako jana ulikuwa unasisita sana jamaa asimulie yani ulikuwa na hamu nayo kweli, alivyosimulia tu ukalala ulivyoamka tu na ww ukaleta story yako vilevile kama ya jamaa hapo ndio watu tukapata wasiwasi na story yako
 
Kumbe kumkomalia kote jamaa asimulie ili na ww utunge story yako?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] , Daah JF haijawahi kuisha vituko na sidhani kama itatokea iishe vituko.
 
[emoji120] [emoji120] [emoji120] . kuna Binti ni form three kazaliwa na ukimwi(ni mrembi hatari) ila anaambukiza vvu kwa makusudi. Hii ni story ya kweli. Najua nikiileta hapa watu hawataamini. Watasema nimetunga. Mimi kila siku hizi cases nashughulika nazo na kutoa uahauri. Sasa watu wakiletewa story hapa ili wajifunze wanaleta maneno mengi.
 
Tatizo lako jana ulikuwa unasisita sana jamaa asimulie yani ulikuwa na hamu nayo kweli, alivyosimulia tu ukalala ulivyoamka tu na ww ukaleta story yako vilevile kama ya jamaa hapo ndio watu tukapata wasiwasi na story yako
Unajua why nilikomaa? Nilikomaa ili nijue mazingira ya tukio na njifahamu jinsi ya kusaidia. After all mimi ni mtaalamu wa hayo madude.
 
Mkuu we zilete tu hivyo hivyo, hakuna jinsi tutajifunza pia. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mkuu we zilete tu hivyo hivyo, hakuna jinsi tutajifunza pia. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kuna mama anaishi na vvu aliambukizwa kwa makusudi na Mme wake (marehemu kwa sasa) ila alishamsamehe. Ni true story na ya kusisimua. Mme wake aliacha frame Za kutosha Kariakoo. Hii story nikiileta hapa watu watatokwa na mapovu. Watasema nimekopy
 
Uwezekano wa kupima ni mkubwa sana kwa kuwa yule binti alianza dose.
 
Lete story bwana tupate kujifunza, kwani ya kutunga haifundishi? Ww usifatishe maneno ya humu ukweli unaujua mwenyewe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…