nzalendo
Platinum Member
- May 26, 2009
- 12,940
- 14,753
Ni baada ya kumuomba sana na kumbembeleza.
Yeye akasema amechoka hawezi kuamka.
Lakini sikukata tamaa...nikazidi kupanga maneno ili anielewe,
Bila kufanya hivyo nisingeweza kupata usingizi.
Hatimaye akasema siku nyingine nisirudie tena huo mchezo wa kumuamsha manake alikwisha lala na ni usiku mkubwa.
Basi akanifungulia geti nikaingiza kichwa cha VOLVO VNL 680...manake kukilaza nje ni hatari kilikuwa kipyaa...
Yeye akasema amechoka hawezi kuamka.
Lakini sikukata tamaa...nikazidi kupanga maneno ili anielewe,
Bila kufanya hivyo nisingeweza kupata usingizi.
Hatimaye akasema siku nyingine nisirudie tena huo mchezo wa kumuamsha manake alikwisha lala na ni usiku mkubwa.
Basi akanifungulia geti nikaingiza kichwa cha VOLVO VNL 680...manake kukilaza nje ni hatari kilikuwa kipyaa...