Aliniacha sasa ananisumbua


Got ya!

So I guess "Living well is the best revenge" encapsulates your viewpoint.
 
Suluhisho rahisi hapo ni kuuchuna mazimaaa! No kupokea simu, no kujibu sms. Period!
 
Siku nyingine akikupigia simu mpe demu wako apokee watamalizana wenyewe maana wanawake wanaelewana.
 
Sikiliza wewe hilo ni bomu la nyuklia, ni muharibifu mblock kabisa kama hautaki mawasiliano naye na una nia ya kweli ya kufunga ndoa mwakani.

mkuu nifundishe namna ya kublock
kuna mmoja ananisumbua sana
ahsante sana
 
sijaona kigumu hapo.. kama humtaki kwnn upokee call zake
 
Mwambie ctaki unipigie cm kwasababu sikupendi tena na sipendi kusikia sauti yako unanikeraaa
 
Alikuwa antest flavour ameona flavour yako kali; ndio maana anataka kurudi kwako! Haihitaji kuwa na elimu ya chuo kikuu kuchukua maamuzi. Uamuzi unao mikononi mwako.
 
Mwambie ctaki unipigie cm kwasababu sikupendi tena na
sipendi kusikia sauti yako unanikeraaa........
i like it.......
 
njia rahisi ni kumblock au kunadilisha line ya simu,coz huyo hana jipya ila anataka kulipiza kisasi tu.

Hakuna haja ya Kubadilisha line kisa mwanamke, hapo ni yeye tu kuamua, atakuwa anataka kulipa kisasi hakuna kingine hapo
 

mweleze mpenzi wako wako wa sasa hali halisi. Pia mwambie previous love wako asahau yaliyotokea. Usipokuwa mwangalifu atakuvunjia uchumba.
 

mwambie aache kukupigia...!! asikusumbue, uko bize na baby...!!
 
Kaka ogopa sana mwanamke ambaye umeachana nayee akakusababishia ukayumba kimaisha halafu akataka kurudiana na wewe.....in short mimi sikushauli urudiane nayee...cha msingi anza maisha mapya....na mpenzi wako wa sasa.. Hawa wanawake wengine hawafai mimi hapa nilipo nimefilisika kila kitu kwa ajili ya mwanamke na mwanamke amenikimbiaa nipo kwenye harakati za kuanza maisha upya ....
 
Mbona unaumia kichwa kwa ki2 kidogo..kam una uhakika dat haumuhitaji mpe MAKAVU YAKE thn black list zimewekwa kwa watu kama hao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…