Kuna mada iliwekwa humu kuhusu huyo mzeeMtonya mzee wa kuombaomba na utajiri mkubwa kwake dodoma
Alikuwa kada mzuri wa CCMMtonya mzee wa kuombaomba na utajiri mkubwa kwake dodoma
RC wa zamani wa DSM, Kanali Makamba alichemka hapo, kila akifukuza baada ya siku mbili amerudi
Naye ni Mgogo😂😂😂Mtonya mzee wa kuombaomba na utajiri mkubwa kwake dodoma
Makamba hakuwa kanali mkuuRC wa zamani wa DSM, Kanali Makamba alichemka hapo, kila akifukuza baada ya siku mbili amerudi
YesWanadai ni kabila moja na ndugai,
Hahahaaa sina uhakika mkuuSio ndugu yake??
Ahahahaaaaa Matonya alikuwa mtata sana,Yusuph makamba alikua anamkamata anampeleka adi ubungo stand ya mkoa anampakia kwenye shabib kuelekea Dodoma asubuhi anasikia matonya Yuko posta anaomba
Alikuwa anampandisha kwenye treniYusuph makamba alikua anamkamata anampeleka adi ubungo stand ya mkoa anampakia kwenye shabib kuelekea Dodoma asubuhi anasikia matonya Yuko posta anaomba