Alikuwa binadamu kweli?

Hili kwangu rahisi sana, ila nilisema mpaka utupe wewe ushahidi na ukiri ya kuwa wewe ni Muongo.

Kisha nakuja kukuthibitishia ya kuwa Majini wapo.

Haya for the sake of Argument maana naona tunazunguka palepale.

Mimi ni lirongo na sina Ushahidi wa majini.
Haya wewe weka ushahidi wa majinni
 
Ngoja, ni pale junction ya Liwiti baada ya uwanja kushoto? Then unaenda hadi kwenye junction yenye maduka Mengi?
 
Haya for the sake of Argument maana naona tunazunguka palepale.

Mimi ni lirongo na sina Ushahidi wa majini.
Haya wewe weka ushahidi wa majinni
Hujakiri bado unaleta uhuni. Sababu nipo hapa kwa ajili ya kuonyesha ujinga wenu ulipo.

Naanzia hapa.

Ushahidi wa kwanza ni katika qur'aan soma surat "al Jinn".
 
Hujakiri bado unaleta uhuni. Sababu nipo hapa kwa ajili ya kuonyesha ujinga wenu ulipo.

Naanzia hapa.

Ushahidi wa kwanza ni katika qur'aan soma surat "al Jinn".
Sasa hapo itabidi kwanza niiamini hiyo Quran.Jambo ambalo mtu mwenye akili hawezi fanya.

Ni sawa niseme kuna Jogoo mkubwa mwenye uwezo wa kubeba mtu..ukaniomba ushahidi mimi nakuambia kasome kitabu cha darasa la tatu cha Pazi na jogoo wa ajabuhaya leta mwingine...huo umefeli
 

Usinifosi kuweka mfano unaotaka.
Nyerere leo hii hayupo hata kama kafa jana bado ni mtu ambaye leo hayupo kwahyo uwepo wake ni swala linalodai ushahidi...

Haya weka sasa hayo marejeo kwa Chain mpaka Muhammad na ushahidi wake sitaki maneno matupu. Anza na Source ya kwanza kabisa ambayo unaamini iliandikwa kipindi Chake
 
Ngoja, ni pale junction ya Liwiti baada ya uwanja kushoto? Then unaenda hadi kwenye junction yenye maduka Mengi?
Upande wa shule..unafata ile barabara ya vumbi inakatiza mbele ya jumla moja kubwa zuri kina fence. kama unashuka bondeni hivi.
 
Nlitaka kuandika kisa.keyboard ikabadili
 
Samahani hivi wewe ni jini?
 
Hakua Binadamu, na Una bahati, na uache kumfikilia..,.... Ili hiyo Bahati kidogo uliyonayo isije kupotea, ukajuta kuzaliwa....... Mm ni Muhanga, kila ulichosema was the same Kwangu, but Mm nilijua baada ya kuwa nimeumia tayari.
Nakuomba dada angu kama usipojali share nasi kisa chako kwa kweli ni mambo ya kufikirisha sana
 
Kwanza rekebisha nilipokukosoa. Weka mfano muafaka, na ule ulio rejea. Nasubiri uwekke mfano stahiki.

Nakufosi uweke mfano stahiki.
 
Kutokuiamini si hoja, hoja ni wewe kupinga kilichomo humo kwa hoja na ubainifu,huwa hatusemi tu ilimradi tunasema, bali ithibati ndiyo huuweka wazi ukweli.

Tukisema kila mtu aseme, watasema tu kama wewe unavyoamua kusema ila kizaazaa huja kama kile kilichokukuta ukashindwa kutupa ushahidi hata ule ulio ushuhudia ya kuwa uliona majini yakifugwa.

Kwahiyo bado hujavunja ithibati yangu, sababu umesema kwamba huamini ila hujakosoa kilichoandikwa mule na hili huwezi mpaka unazikwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…