Alikuwa binadamu kweli?

Alikuwa binadamu kweli?

Kama hatukubali wewe umeyajuaje na ukayathibitishaje kama ni ya kweli ?

Nilishawahi kukwambia wewe ni kinara wa vilaza humu, nimeshakupa njia lakini bado unalia lia, fanya uchunguzi ujiridhishe kisha uje kuleta ushahidi humu. Sio unakuwa kama sponji unafyonza kila kimiminika ukiwekwa kwenye mkojo unafyonza mkojo, ukiwekwa kwenye mafuta kadhalika.

Mnapenda sana kusikia na si kuhakiki habari.

Kazi yangu nimemaliza.
Sawa..mpe hi jinn aliyekusaidia mawazo ya kunitukana hapa
 
Sawa. Ukirudi pekenyua hiyo mitaa yote ya pande hizo. Zungukia na upande mwingine,rudi upande wa juu,wa chini,kushoto,kulia pita katikati. Kama utafanikiwa kupapata,usisahau kupitia kuupitia tena ule mtaa uliochanganya na huo. Vile vile usisahau kuleta mrejesho iwe umeupata au hujaupata ili tukupe tena mawazo mapya
Hahahaa utakuja unisindikize
 
Huyo alikuwa ni Secret Agent na huenda kweli alitoka Comoro au ni Mtanzania Mwenzetu. Alikamilisha kazi yake na kuondoka. Na mara nyingi wao ni mabingwa wa kubadilisha locations na namba za simu. Yaani hawana permanent phone number wakiwa kwenye mission. Na akimaliza Mission huteketeza namba zite za mawasiliano. Hivyo hakuna cha majini wala mdogo wake jini.
 
Huwa situkani bali huwa nampa mtu stahiki yake. Na hili ndilo nililo fanya hapa.
Ndiyo maana huwa tunawapa nasaha majini wanapo amua kuja kuchukua ujuzi kwetu sisi binadamu basi wasiwe wnafanya matukio ya ajabu, sababu huwa wanatuathiri sisi na mfano wake.
Haya naona umepewa nasaha na jini hapa utype hivo...maana mnapeana nasaha na kushirikiana na marafiki zako majin
 
Comoro mtu anaitwa Henry??

Possibility kubwa umekosea nyumba au kitongoji.. inawezekana ni tabata hiyo hiyo
Ila upande Mwingine..

Unaweza fanya hivi tafuta fundi seremala yeyote maeneo hayo wa wa zamani
Ambae alikuwa fundi seremala miaka hiyo
Lazima mafundi seremala wanajuana WA eneo moja...uanze kumsimulia kisa kisa chako
Kingine wakati Una search eleza ni mtu wa asili ya comoro..


Mfano ukimpata fundi seremala wa wa tabata liwiti ambae amefanya hiyo shughuli almost miaka 15 mwambie unamuulizia fundi aliekuwa anafanya kazi kwenye nyumba ya wa commoro Kwa nje ..
Hapo utapata pa kuanzia..
Labda walibadili majina
Anasema babake alikimbia vita akiwa kijana zamani sana.so alivokuja huku akaweka makazi,nadhani majina alijipachika mapya ili wasitambue.
Nimehisi tu.
 
Huyo alikuwa ni Secret Agent na huenda kweli alitoka Comoro au ni Mtanzania Mwenzetu. Alikamilisha kazi yake na kuondoka. Na mara nyingi wao ni mabingwa wa kubadilisha locations na namba za simu. Yaani hawana permanent phone number wakiwa kwenye mission. Na akimaliza Mission huteketeza namba zite za mawasiliano. Hivyo hakuna cha majini wala mdogo wake jini.
Mhh mkuu
 
Back
Top Bottom