Kimbley
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 3,050
- 2,103
Teh Teh kawaweza kweli
ahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaa!!nacheka cheka peke yangu kama chizi vile!amejua kunikomeshea watu leo Ally
Teh Teh kawaweza kweli
Mi napita kimya kimya huku nikitabasamu.
Hakika leo ni siku mbaya kwa makamanda huku wanapigwa na Ally kule wanapigwa na Dr.Slaa..!ahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaa!!nacheka cheka peke yangu kama chizi vile!amejua kunikomeshea watu leo Ally
Jinsi daimond alivyopost kuhusu ccm na kiba ni tofauti hamana kejeli wala vijembe kwa kiba na kiba sio ccm yule ni behind the scene utafanyaje wakati wao ndo wenye ukitaka kuamini hvyo hebu nitajie sehemu aliopiga show kiba ya siasa mwaka huu sema hana jinsi ni nguvu ya umma imemsukumaAhahahah yaani leo ninachekacheka peke yangu kama chizi!watu walimaliza maneno yooote na wakaona kwa kua diamond kaisapoti ccm basi wakatumia hiyo chance kummaliza kisanii!leo kiba kanikosha sanaaaa
Senkyu senkyu mi nakaa pembeni na popcorn kushuhudia kejeli na matusi kama yatakuwepo.
Thubutuuu!matusi uyaone hapa?!mimi nilisema wale walokua wanamtupia madongo diamond ni teamkiba wenye ID saba saba au nane nane!Bavicha walikua wachache sana kina dinazarde.
Kuthibitisha hilo unajione mwenyewe hapa!wamekula kona leo kingkiba kawaweza sana
Jinsi daimond alivyopost kuhusu ccm na kiba ni tofauti hamana kejeli wala vijembe kwa kiba na kiba sio ccm yule ni behind the scene utafanyaje wakati wao ndo wenye ukitaka kuamini hvyo hebu nitajie sehemu aliopiga show kiba ya siasa mwaka huu sema hana jinsi ni nguvu ya umma imemsukuma
Pamoja na Allikiba kuwa na haki ya kuchagua anacho kipenda lakini kwenye account yake hakuna unacho kisema...Alikiba mi shabiki wako damu ila kwa huu utoto uliofanya insta wa kupost magufuli umenikera sana na kunifedhehesha, nipo najiandaa kufanya umamuzi mgumu juu ya hili.
ahahahaha kifo ni kifo haijalishi umekufaje!mliponda sana pwilo!!ameshasema raisi wake ni Magufuri baaaaasi
Alikiba mi shabiki wako damu ila kwa huu utoto uliofanya insta wa kupost magufuli umenikera sana na kunifedhehesha, nipo najiandaa kufanya umamuzi mgumu juu ya hili.
Pole sana kama ulichelewa kulifahamu hili! Sie wengine tulikuwa tunawacheka tu na ndio maana tarehe 24/08/2015, wiki moja nyuma niliandika:Alikiba mi shabiki wako damu ila kwa huu utoto uliofanya insta wa kupost magufuli umenikera sana na kunifedhehesha, nipo najiandaa kufanya umamuzi mgumu juu ya hili.
Na kuna mwenzako mmoja nilimwambia:Wala hapahitajiki shahada ya chuo kikuu kufahamu kwamba hakuna msanii hata mmoja (ukiondoa wale walio jukwaa la siasa moja kwa moja) ambae angeweza kupewa mchongo na CCM halafu akakataa... HAKUNA! Mtu kama Ali Kiba hakuonekana, mosi inawezekana mchongo hakuupata au inawezekana vilevile muda wake bado coz' kampeni ndo kwanza zimefunguliwa!
Sasa hapo isije ikawa mnajengwa kisaikolojia ili msije mkadondoka siku mkimuona jukwaani kabisa!!!.. kila siku mtakuja na jambo coz' yote hayo si kisa cha ugomvi wenu bali ugomvi wenu ni siasa... kwamba, amekipigia kampeni chama cha wengine na sio chama chenu. Nitarudia tena na tena, hayo mtakayo nyinyi hayawezekani na ndio maana nikasema kwa staili hii mtakuja kuwawatukana hata mama zenu waliowazaa indirectly ili mradi tu uonekane ni mpenda mabadiliko!
Hakika leo ni siku mbaya kwa makamanda huku wanapigwa na Ally kule wanapigwa na Dr.Slaa..!
Aiseee huu mwaka tutaona na kusikia mengi...
We dogo tuliaaaa!!hapa ni zamu kwa zamu!Anajadiliwa Allykiba leo kwa hiyo tuliza munkari.
Mi sikumponda daimond aisee ila kiba hana kosa maana mpaka jana kupost vile amevumilia sana ila kiba ni ukawa sawa Kimbley ruge ndo kila kitu kwenye soko la tz ila tusiseme sana maana kiba kashakataa pesa kibao za siasa ila yamemfika hapaa hana jinsi umemuona dogo huyu anamuwakilisha baba ake chama chake
We dogo tuliaaaa!!hapa ni zamu kwa zamu!Anajadiliwa Allykiba leo kwa hiyo tuliza munkari.
Mkuu yamemfika hapaa hana namna atafanyaje