nyakandula
JF-Expert Member
- Jul 26, 2016
- 1,251
- 1,735
- Thread starter
- #41
Hahahah duhkwenye market strategies Alikiba ni bure kabisa ndio maana hulipwa laki tatu kwa show....
Hahahah duhkwenye market strategies Alikiba ni bure kabisa ndio maana hulipwa laki tatu kwa show....
Sawa... Tecno yako ni kubwa kuliko simu yangu. Ila usisahau ukubwa wa pua si wingi wa makamasiMshamba ww hio nime zoom umbali wa mita zaid ya 50 nilikuwepo.. hujui kutofautsh picha ya kuzoom..natumia sim kubwa zaid yko
Acha uongo..Jana timu yetu na kina Kiba hatukuvaa jezi hizo tulivaa jezi white..kuhusu watu akuna timu inayojaza watu kama timu yetu maana watu wanajua Ally Kiba yupo..Leo nilikua uwanja wa tabata shule kuangalia mechi za ligi ya mchangani..ALIKIBA nae alikicheza namba 9 kiukwel mpira anajua kucheza ila nilichoshangaa watu wala hawamshangai kama tulivozoea kwa mastaa wakionekana katika sehem za kawaida yan watu hata kuomba nae picha hakuna dah ikanishangaza sana nikajiuliza angekuja diamond pale uwanjan sijui kama pangechezeka.sas nikajiuliza hivi huyu jamaa sio super star?sikupata majibuView attachment 722540
Wapenzi wa mpira sio wapenzi wa watu kama hao, angekuwa Okwi ungeona tofauti.Leo nilikua uwanja wa tabata shule kuangalia mechi za ligi ya mchangani..ALIKIBA nae alikicheza namba 9 kiukwel mpira anajua kucheza ila nilichoshangaa watu wala hawamshangai kama tulivozoea kwa mastaa wakionekana katika sehem za kawaida yan watu hata kuomba nae picha hakuna dah ikanishangaza sana nikajiuliza angekuja diamond pale uwanjan sijui kama pangechezeka.sas nikajiuliza hivi huyu jamaa sio super star?sikupata majibuView attachment 722540
Tabata shule mbona mara moja moja aje uwanja wa sigara karbu na the great park atamuona mpaka achoke na selfie atapga jamaa ana noma!!Njoo tabat shule siku moja utamuon ten kwavile timu yao imeingia nusu fainal hatokosa kuja na X5 yake
Hii ndio tunaita mbinu za kibishiara sio una kaa kizembe zembe tuuInasemekana Mond akienda mahali, anakodisha watu anawajaza kwenye daladala 5-10 kisha wanatangulia eneo la tukio ili akitokea tu, wajifanye wanamshobokea kumbe amewanunua!!!!
Nimecheka sana hivi kwa nini tecno zinazalaulika sanaHii simu yako uliopigia hii picha lazima itakuwa tecno lile toleo la mabaamedi.

acha ujinga weweeeee """ nadhani hkuna asiyemjua BOB NESTA MARLEY""" mbona alikuwa anacheza kabumbu nawatu hawamshangai"" nawala hajawahi kushuka kisanaa mpka hivi leo ..ijpokuwa nimfuNina rafiki yangu anakaa Tabata aliniambia alimuona kiba akicheza shule ya msingi Tabata,sikumuamini ila wewe umethibitisha kwani hapo nyuma nakiona kituo cha polisi Tabata.Hapa ndio jamaa anapofeli kibiashara na kutokupata deal kubwa na makampuni makubwa huwezi ww mwenyewe kujichukulia poa alafu wakupe brand uibebe ww kama balozi na hapo nasikia ana bidhaa ataziingiza sokoni naona watu nao watazichukulia poa.Ila muacheni ndio maisha yake aliyoyachagua.
hahaaaaYaani hata kitendo cha wewe kumuandika hapa huoni kuwa kawa STAR
yaani wewe nani kaishawahi kukuandika hapa?
grow up dude
Nkurunzinza ni raisi na anacheza mpira fresh tuKweli watu vichwa panzi ukiwa star usicheze mpira acheni ujinga
kitu gani ulikiona hadi ukamuona sio star?Kwa nilivomuona leo pale nmemchukulia sio star
Tabata shule pale ni kituo cha Ligi aje uwanja wa Sigara Tabata The Great tunacheza naye daily na mdogo ake SingleTabata shule mbona mara moja moja aje uwanja wa sigara karbu na the great park atamuona mpaka achoke na selfie atapga jamaa ana noma!!