Alikiba sio star?

Alikiba sio star?

Acha umbea mtoto wa kiume ingekuwa hivyo usingehangaika kumzoom na kisimu chako cha mchina
 
Mshamba ww hio nime zoom umbali wa mita zaid ya 50 nilikuwepo.. hujui kutofautsh picha ya kuzoom..natumia sim kubwa zaid yko
Sawa... Tecno yako ni kubwa kuliko simu yangu. Ila usisahau ukubwa wa pua si wingi wa makamasi
 
Leo nilikua uwanja wa tabata shule kuangalia mechi za ligi ya mchangani..ALIKIBA nae alikicheza namba 9 kiukwel mpira anajua kucheza ila nilichoshangaa watu wala hawamshangai kama tulivozoea kwa mastaa wakionekana katika sehem za kawaida yan watu hata kuomba nae picha hakuna dah ikanishangaza sana nikajiuliza angekuja diamond pale uwanjan sijui kama pangechezeka.sas nikajiuliza hivi huyu jamaa sio super star?sikupata majibuView attachment 722540
Acha uongo..Jana timu yetu na kina Kiba hatukuvaa jezi hizo tulivaa jezi white..kuhusu watu akuna timu inayojaza watu kama timu yetu maana watu wanajua Ally Kiba yupo..

Wazee..watoto..vijana .wanafunzi pindi timu yetu inacheza wanajitokeza kwa wingi kuja kumuangalia Kiba. Hata mpira ukimalizika wamekuwa wakimzingira kutaka picha au kumshika lkn kutokana na sababu za kiusalama amekuwa akikimbia kuepuka lundo la watu wanaomzunguka..

Hiyo picha uliyotuma ilikuwa ni mara ya kwanza kiba kaja na watu hawakujua kama anakuja pia atacheza
 
Leo nilikua uwanja wa tabata shule kuangalia mechi za ligi ya mchangani..ALIKIBA nae alikicheza namba 9 kiukwel mpira anajua kucheza ila nilichoshangaa watu wala hawamshangai kama tulivozoea kwa mastaa wakionekana katika sehem za kawaida yan watu hata kuomba nae picha hakuna dah ikanishangaza sana nikajiuliza angekuja diamond pale uwanjan sijui kama pangechezeka.sas nikajiuliza hivi huyu jamaa sio super star?sikupata majibuView attachment 722540
Wapenzi wa mpira sio wapenzi wa watu kama hao, angekuwa Okwi ungeona tofauti.
 
Njoo tabat shule siku moja utamuon ten kwavile timu yao imeingia nusu fainal hatokosa kuja na X5 yake
Tabata shule mbona mara moja moja aje uwanja wa sigara karbu na the great park atamuona mpaka achoke na selfie atapga jamaa ana noma!!
 
Inasemekana Mond akienda mahali, anakodisha watu anawajaza kwenye daladala 5-10 kisha wanatangulia eneo la tukio ili akitokea tu, wajifanye wanamshobokea kumbe amewanunua!!!!
Hii ndio tunaita mbinu za kibishiara sio una kaa kizembe zembe tuu
 
Prezdaa Piere Nkuruzinza nae anachezaga sana boli. Watu na hobby zao. Mtu anaishi maisha yake watu mnasema hajui market strategies,najiuliza hata maana ya hayo maneno unayajua?! Maana ungejua usingeandika hivyo
 
Nina rafiki yangu anakaa Tabata aliniambia alimuona kiba akicheza shule ya msingi Tabata,sikumuamini ila wewe umethibitisha kwani hapo nyuma nakiona kituo cha polisi Tabata.Hapa ndio jamaa anapofeli kibiashara na kutokupata deal kubwa na makampuni makubwa huwezi ww mwenyewe kujichukulia poa alafu wakupe brand uibebe ww kama balozi na hapo nasikia ana bidhaa ataziingiza sokoni naona watu nao watazichukulia poa.Ila muacheni ndio maisha yake aliyoyachagua.
acha ujinga weweeeee """ nadhani hkuna asiyemjua BOB NESTA MARLEY""" mbona alikuwa anacheza kabumbu nawatu hawamshangai"" nawala hajawahi kushuka kisanaa mpka hivi leo ..ijpokuwa nimfu
 
We fala kweli,

kina Neymar, Messi, C. Ronald etc..
wanacheza Mpira,

Kwahiyo sio ma-Super Star???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom