Mshamba ww hio nime zoom umbali wa mita zaid ya 50 nilikuwepo.. hujui kutofautsh picha ya kuzoom..natumia sim kubwa zaid ykoHii simu yako uliopigia hii picha lazima itakuwa tecno lile toleo la mabaamedi.
Nmeripot ili niwaulize wadauAngekuwa sio Star ungeripoti humu?!
Hahaha duhkiba keshazowea sana uswahilini ..mirungi anagonga tu sana apo vijiweni .. jama ni kama chidibenz wameshamzoweya pale ilala na kaliako
Njoo tabat shule siku moja utamuon ten kwavile timu yao imeingia nusu fainal hatokosa kuja na X5 yakeMpaka unashangaa maana yake unakiri ni star. Ipo hivi, watu wanaokuona kila siku hawawezi kukushangaa.
Kusema kweli natamani siku ali kiba nimuone live ili nimshangae. Huenda ana jina ambalo halitendei haki
Assist hio kapiga jukwaan au uwanjan? Bila shak hukuangalia hio mechi leoJamaaa amepiga assist safi saaana.
Jamaaa alikusanya kijijini...!
Big up kiba. Maisha ndo hayahaya
Tabata shule ndo maeneo ninayoishi. Sema huwa sishindi nyumbani siku zoteNjoo tabat shule siku moja utamuon ten kwavile timu yao imeingia nusu fainal hatokosa kuja na X5 yake
Mziki wake naupenda ila sio super starAwe star au la tunampenda na mziki wake pia
Kwa nilivomuona leo pale nmemchukulia sio starWewe ulimchukuliaje uyo Kiba?star au sio star?tuanzie hapo kwanza.
Samahani Joseverest nimekalia seat yako imetokea bahati mbaya..![]()
Ishu sio kucheza mpira soma vizr uelewe..usiwe kichwa majiKweli watu vichwa panzi ukiwa star usicheze mpira acheni ujinga
Wew ndo ukue..kwahio kuandikwa tu jamiiforum naww unakua star?shame on youYaani hata kitendo cha wewe kumuandika hapa huoni kuwa kawa STAR
yaani wewe nani kaishawahi kukuandika hapa?
grow up dude
Wew ndo ukue..kwahio kuandikwa tu jamiiforum naww unakua star?shame on you
Hahahahha duh ww shilawaduInasemekana Mond akienda mahali, anakodisha watu anawajaza kwenye daladala 5-10 kisha wanatangulia eneo la tukio ili akitokea tu, wajifanye wanamshobokea kumbe amewanunua!!!!
MaybeKiba anakuzwa tu kwa kumkomoa flani ila bado sana,ukweli unabaki kama ulivyo,u star hautaki hayo mambo yake,ukiwa kwenye level flan unatakiwa uishi kulingana na jina lilivyo,hatupingi kupiga game mchangani ila anapiga ktk mazingira yapi!? Anashindwa kulinda status yake!