Alikiba - Mbio

Alikiba - Mbio




Allow me to introduce to you MBIO ngoma ambayo niliandika miaka 10 iliyopita nilipokwenda Oman [emoji1190] kwa mara ya kwanza, miaka 10 baadae niliporudi Oman kwa ajili ya concert yangu kubwa at Intercontinental Hotel, I got inspired to finalise the song na kushoot Music Video in Muscat.

Hawa jamaa kweli wanatembelea nyota ya Chibu D,wik mbili zilizopita mond wakat yupo France akasema akirud bongo anaachia ngoma,jamaa na wao mbio mbio wakaachia wimbo,juzi mond kasema akirudi Korea anaachia kitu,jana Kiba kakurupuka na hili liwimbo teh teh teh teh.....uzuri siku hiz team mond huwa wanausoma mchezo hawawapi kiki hawa Vibakuli
 
Una kiroho flani cha umauti.
Hawa jamaa kweli wanatembelea nyota ya Chibu D,wik mbili zilizopita mond wakat yupo France akasema akirud bongo anaachia ngoma,jamaa na wao mbio mbio wakaachia wimbo,juzi mond kasema akirudi Korea anaachia kitu,jana Kiba kakurupuka na hili liwimbo teh teh teh teh.....uzuri siku hiz team mond huwa wanausoma mchezo hawawapi kiki hawa Vibakuli
 
Hawa jamaa kweli wanatembelea nyota ya Chibu D,wik mbili zilizopita mond wakat yupo France akasema akirud bongo anaachia ngoma,jamaa na wao mbio mbio wakaachia wimbo,juzi mond kasema akirudi Korea anaachia kitu,jana Kiba kakurupuka na hili liwimbo teh teh teh teh.....uzuri siku hiz team mond huwa wanausoma mchezo hawawapi kiki hawa Vibakuli
Milembe inakuhusu si bure
 
Balaaa linakuja...hits only
 
Hii nyimbo ukiisikiliza haraka huwezi ielewa.
Ni nyimbo nzuri sana na huwezi choka kuisikiliza (haichuji).
Ujumbe wake mzuri sana.
Ambaye hajaielewa itakuwa hajaimbiwa yeye.
 
Back
Top Bottom