Alikiba alamba dili nene

Kuna vitu tukiviongea kuhusu Kiba unaonekana haters, anachukulia vitu simple upande Image na brand anachemka sana, Seven alikuwa anamtengeneza vizuri sijui kwanini waliachana,sasa anaambatana na kina Mwijaku, washkaji zake anao hang akina Matunga.

Leo hii Nandy anaandaa matamasha makubwa na kapata udhamini wa Guiness na TTCL, kishapiga mikoa mitatu na kaita msanii kutoka Nigeria. Yeye kila analalamika "wananibania......wananiroga........." wakati ana support kubwa sana kutoka Clouds,EA,E-FM plus fan base kubwa,kumbe ni yy mwenyewe tatizo hajui branding hana uthubutu ana zidiwa mpaka na mtoto wa kike au sio anazani atakuwa number moja kila siku.

Hajui kuwa mziki hauna mwenyewe,wamepita wakina Prof Jay, Nature,Jide muda huu ndio wakutengeneza hela,ukipita ataishia kulalamika na kulaumu kama Chillah na TID.
Unateseka ukiwa stoo ya wapi ewe Mmatumbi mwenzangu????
 
Unateseka ukiwa stoo ya wapi ewe Mmatumbi mwenzangu????
Endeleeni kumdanganya mwenzenu,unamuacha meneja ambaye kwa sasa ni amechaguliwa kuwa Director kwa upande wa East Africa na Sony Music.

Endeleeni kumtia ujinga kwani siku zote muda haumsubirii mtu na mziki hauna mwenyewe.
Screenshot_20210716-194726_Chrome.jpg
 
Kuna vitu tukiviongea kuhusu Kiba unaonekana haters, anachukulia vitu simple upande Image na brand anachemka sana, Seven alikuwa anamtengeneza vizuri sijui kwanini waliachana,sasa anaambatana na kina Mwijaku, washkaji zake anao hang akina Matunga.

Leo hii Nandy anaandaa matamasha makubwa na kapata udhamini wa Guiness na TTCL, kishapiga mikoa mitatu na kaita msanii kutoka Nigeria. Yeye kila analalamika "wananibania......wananiroga........." wakati ana support kubwa sana kutoka Clouds,EA,E-FM plus fan base kubwa,kumbe ni yy mwenyewe tatizo hajui branding hana uthubutu ana zidiwa mpaka na mtoto wa kike au sio anazani atakuwa number moja kila siku.

Hajui kuwa mziki hauna mwenyewe,wamepita wakina Prof Jay, Nature,Jide muda huu ndio wakutengeneza hela,ukipita ataishia kulalamika na kulaumu kama Chillah na TID.
Mkuu umeongea kweli tupu, lakinii inawezekana labda kiba anaoba ameshafikia malengo aliyojiwekea. Fursa ya yeye kua wa kimataifa zaidi anayo ila ni yeye tu hajitumi kwenye branding, mi nadhani jamaa karidhika na pale alipofika.

Haya mambo mengine nadhani mashabiki ndo wanataka afanya lakini labda yeye kesharidhika.
 
Endorsement ndio zinawapa sana pesa wasanii wa kenya ambao hata kuimba hawajui ila sie tunaojua kuimba sasa daaah......niishie hapa
 
Kuna vitu tukiviongea kuhusu Kiba unaonekana haters, anachukulia vitu simple upande Image na brand anachemka sana, Seven alikuwa anamtengeneza vizuri sijui kwanini waliachana,sasa anaambatana na kina Mwijaku, washkaji zake anao hang akina Matunga.

Leo hii Nandy anaandaa matamasha makubwa na kapata udhamini wa Guiness na TTCL, kishapiga mikoa mitatu na kaita msanii kutoka Nigeria. Yeye kila analalamika "wananibania......wananiroga........." wakati ana support kubwa sana kutoka Clouds,EA,E-FM plus fan base kubwa,kumbe ni yy mwenyewe tatizo hajui branding hana uthubutu ana zidiwa mpaka na mtoto wa kike au sio anazani atakuwa number moja kila siku.

Hajui kuwa mziki hauna mwenyewe,wamepita wakina Prof Jay, Nature,Jide muda huu ndio wakutengeneza hela,ukipita ataishia kulalamika na kulaumu kama Chillah na TID.
Kuhusu nandy pesa nyingi anayoingiza
Hapo inarud cmg connection nyingi
Zmetengenezwa na CMG.

hapo yeye anatengeneza BRAND CMG Hua hawaiingii Mahali kifala Fala Kama hawajaona fursa ya maana,hata ushwish
Mkubwa na promotion inatoka CMG
 
Kiba kazubaa sana japo ndo mwanamziki ninaemkubali kwa sauti nzuri,anajua kuimba sana tena.
 
Kuna vitu tukiviongea kuhusu Kiba unaonekana haters, anachukulia vitu simple upande Image na brand anachemka sana, Seven alikuwa anamtengeneza vizuri sijui kwanini waliachana,sasa anaambatana na kina Mwijaku, washkaji zake anao hang akina Matunga.

Leo hii Nandy anaandaa matamasha makubwa na kapata udhamini wa Guiness na TTCL, kishapiga mikoa mitatu na kaita msanii kutoka Nigeria. Yeye kila analalamika "wananibania......wananiroga........." wakati ana support kubwa sana kutoka Clouds,EA,E-FM plus fan base kubwa,kumbe ni yy mwenyewe tatizo hajui branding hana uthubutu ana zidiwa mpaka na mtoto wa kike au sio anazani atakuwa number moja kila siku.

Hajui kuwa mziki hauna mwenyewe,wamepita wakina Prof Jay, Nature,Jide muda huu ndio wakutengeneza hela,ukipita ataishia kulalamika na kulaumu kama Chillah na TID.
Kuwa na heshima na King Kiba usifananishe na hao mateja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom