Qwy
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 6,238
- 31,148
Nadhani ni natatizo la management, au kama management ipo tu kama picha lakini wakimshauri hashauriki.Kwenda kuongea na waandishi wa habari na kusaini mkataba kavaa kama anaelekea msikitini. Kila sk tunasema kuna shida kwenye kuji brand kwa upande wa king kiba.
One of the two.