Alijaribu kwa Kagera lakini mmmh.....

Alijaribu kwa Kagera lakini mmmh.....

Nkyumu

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2012
Posts
332
Reaction score
104
Nimesikiliza hotuba ya JK kule Kagera ....akiwapiga mkwala wafanyakazi wa uhamiji na swala la wageni kuingia Tanzania na kuishi kwa vibali vya Local Goverment Officers....Akasema wasiwe waoga na kuacha ulegevu hivyo wafanye kazi zao kama inavyotakiwa la sivyo watafukuzwa wote wanaoshindwa kutimiza wajibu wao..

Swali kuntu :-

Wangapi mpaka sasa wameshafukuzwa kwa kutotimiza wajibu wao?
 
What is wrong with our president Kikwete?
Sifa mojawapo ya kiongozi ni kutoa maamuzi ili kuondoa migongano pindi matatizo yanapojili, kukaa kimya au kupuuza ni ishata ya uwoga, kutojiamini au kukwepa lawama zinazotokana na hatua kiongozi alizochukua, kukwepa lawama siyo sifa ya kiongozi bora.
Nitatoa mifano miwili ya viongozi waliotoa maamuzi bila kuchelewa ili kuzuia matatizo zaidi yasitikee,


1. 1. Mzee Nyerere mwaka 1982 alimfukuza kazi mkuu wa mkoa wa Mwanza jamaa mmoja akijulikana kwa jina Abdulnurru Sulemani baada ya tuhuma ya kujihusisha na magendo kwa boti kwenye ziwa Victoria, alifukuzwa pale pale wakiwa pamoja meza kuu.


2. 2. Kwenye fainali ya kombe la dunia Korea na Japani mwaka 2002 kati ya Brazil na Ujeremani kocha Scolari alimtoa nje mchazaji no 2 CAFU dakika ya 11, mchazaji huyo aliruhusu cross ipigwe na ikaleta madhara badala yake akaingia Branco. Baada tu ya cross ile kocha alienda kwa kamisaa na baadae kibao kikapigwa kuashiria no 2 nje.

Sasa goma la uzi huu, Rais Kikwete ndiye mwenyekiti wa chama tawala CCM , kwa wadhifa huo ana mamlaka ya kutoa maamuzi hasa yale magumu, anashindwa nini kumwajibisha Nape Nnawiye kwa sababu domo lake linayumbisha sana chama na hatimae chama kinakosa kabisa mvuto? Hivi ina maana kweli Mhe Kikwete halioni hili?
 
Rais analalamikia uhamiaji kwa kuruhusu wahamiaji haramu, waziri mkuu analalamikia watendaji wa halmashauri kwa kufuja pesa za miradi, wanakijiji wanalalamika ,wananchi wanalalamika,,,,,,nani wa kuchukua hatua, mwakyembe kachukua hatua airport kwa watendaji wake, usalama wa taifa wawachukulie hatua watendaji wao airport, uhamiaji wafanye hivo hivo, polisi pia, na mwisho rais achukue hatua kwa wale aliowapa dhamana ya ulinzi na usalama, haya mambo yaliwezekana tu enzi za mwalimu.....jk nyerere,
 
Back
Top Bottom