Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,796
Wapendwa wa familia kubwa ya JamiiForums. Waswahili wanasema KIZURI KULA NA NDUGUYO.
Tunaingia kwenye zama za biashara na manunuzi mitandaoni, yaani muuzaji na mnunuzi hamfahamiani kabisa bali kuna mtu wa kati anayewakutanisha (dalali).
Huyu dalali amejenga uaminifu pande zote mbili kati ya muuzaji na mnunuzi, hivyo atapokea malipo ya mnunuzi atamjulisha muuzaji kuwa malipo yake anayo, muuzaji atatuma bidhaa husika. Mnunuzi akiipokea atathibitisha kuwa amepokea na dalali atapeleka malipo kwa muuzaji.
Nitaweka baadhi ya bidhaa nionazo ni unique kila wakati na utakayoipenda utaingia mtandaoni mwenyewe ama kupitia wakala.
Vilele nakaribisha maswali kuhusu manunuzi ya mtandaoni. App ninayotumia mimi ni Aliexpress lakini pia ziko nyingine nyingi.
Tunaingia kwenye zama za biashara na manunuzi mitandaoni, yaani muuzaji na mnunuzi hamfahamiani kabisa bali kuna mtu wa kati anayewakutanisha (dalali).
Huyu dalali amejenga uaminifu pande zote mbili kati ya muuzaji na mnunuzi, hivyo atapokea malipo ya mnunuzi atamjulisha muuzaji kuwa malipo yake anayo, muuzaji atatuma bidhaa husika. Mnunuzi akiipokea atathibitisha kuwa amepokea na dalali atapeleka malipo kwa muuzaji.
Nitaweka baadhi ya bidhaa nionazo ni unique kila wakati na utakayoipenda utaingia mtandaoni mwenyewe ama kupitia wakala.
Vilele nakaribisha maswali kuhusu manunuzi ya mtandaoni. App ninayotumia mimi ni Aliexpress lakini pia ziko nyingine nyingi.