BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,209
- 39,031
Hujakosea mkuu ukikataa kutuma vocha unaambulia block ya maana.
Ukinipa no nakupigia whatsapp nikiona hipokei najua dume nafuta namba.
Hujakosea mkuu ukikataa kutuma vocha unaambulia block ya maana.
Hapo kama hauna una ignore tu.Mkuu hujui anaomba wangapi mpaka wengine wanaombwa mpesa kabisaa akichoka vocha.