mimi naamini huyo mama kuna kitu kilimkuta mpaka akafanya hivyo,inavyosemekana alipata mimba akiwa form one,na aliempa mimba hajulikani ni nani.pengine adhabu yake akaona bora alipizie kwa huyo mtoto.pengine alibakwa,hatuelewi.mtu na akili zake timamu hawezi kufanya hivyo namuonea huruma huyo mtoto,kwani ni vizuri apewe ushauri na wana saikolojia.kwani na yeye akikua anaweza akafanya kama alivyofanyiwa na mama yake.is so sad kwa kweli