Alieleta udini kwenye ndoa alaumiwe

Hiyo kitu ni tatizo sana kwa watu wengi.Ila ukiangalia kwa undani utagundua ni ubaguzi mkubwa.mapenzi hayana dini wala umri wala kabila ila ili jambo watu wamelifumbia macho.
 
Labda kama mtu umeamua kuish tofaut na dini yako lakn kama wew unafata din mfano mkristo huwez kuolewa na muislam hairuhusiwi bt kama unaona din yako haina umuhim ukimpenda mtu unamfata tu kwenye dini yake mbona simple

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo kitu ni tatizo sana kwa watu wengi.Ila ukiangalia kwa undani utagundua ni ubaguzi mkubwa.mapenzi hayana dini wala umri wala kabila ila ili jambo watu wamelifumbia macho.
well said
 
Ukisikia chizi karogwa tena basi ni huyu aloleta mada hii, kwa muumini wa dini ya Kiislam na mwenye kuifuata anashikamana na Quran tukufu au hadith za MTUME Muhammad S. A.W kwa kufuata misingi hiyo miwili tumebainishiwa kuwa hakuna ndoa baina na Muislam na asie Muislam, kwa taarifa yako Quran ndio kitabu pekee ambacho kipo katika asili yake tofauti na vitabu vingine. Kwa hiyo huo upumbavu wako hauna nafasi katika Uislam, na hakuna mtu yoyote atakaeweza kubadilsha hata herufi moja katika Qurana ili kuhalakisha ndoa kati ya Muislam na asiyekuwa muislam

Sent using Jamii Forums mobile app
Poleeeeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom