Kama anajua kuendesha gari asemavyo😂 Awe mrefu, mweusi, kifua kipana alafu anaendesha benz
Katoma zake wafuga kucha haoUnakuta mtu anae sema hivyo hata hajui kuandika GIRL anaandika gelo😂
Ukiwaona kama watuWanakaza sana alafu wakishafika 28+ ndio wanaanza kutusumbua kuwa wanaume wa kuoa hawapo,tatizo wameshakuwa vibibi😭😭😂😂😂
View attachment 3227849
Sasa kama wewe mwenyewe ndio mod kwanini nisipigwe tofali😂😂, eti totoz ya hamas, kama una hasira tena piga ya mwaka 😁😁😁😁Jombi kumbe ushatoka kifungoni ? inabidi upewe tuzo ya bans maana unalambwa sana , na nawapongeza mods kwa kazi nzuri .......
Hahah walinipiga kibao cha siku 3 hivi mkuu 😂😂😂
Moyoni hawana utu, Kumbe ni waongo!Lady jaydee,salamu kwake.Ukiwaona kama watu
Acha weeee😂😆😆😆😆 una habari kwamba bwana makutupora amepata cheo kwenye chama cha majobless!
Eeee ni semaji la majobless (duniani)Acha weeee😂
Sijaanza mapambano na wewe na sitaki maana naona haina maana sababu wewe ni mtu ambaye hauna busara na adabu kabisa humu jukwaani kwa kushusha matusi makubwa hovyo ndio maana nakuepuka maana siwezi Kubattle na mtu wa matusi ni kupoteza muda na kujishushia heshima.Sasa kama wewe mwenyewe ndio mod kwanini nisipigwe tofali😂😂, eti totoz ya hamas, kama una hasira tena piga ya mwaka 😁😁😁😁
😂😂😂Sijaanza mapambano na wewe na sitaki maana naona haina maana sababu wewe ni mtu ambaye hauna busara na adabu kabisa humu jukwaani kwa kushusha matusi makubwa hovyo ndio maana nakuepuka maana siwezi Kubattle na mtu wa matusi ni kupoteza muda na kujishushia heshima.
Mimi vita yangu ilikuwa dhidi ya Maghayo na genge lake ( Ghayos Gang ) sasa Maghayo tushampoteza hauto muona tena jukwaani akileta uchizi humu , kijana wake the stress Challengerr kama permanent bana sasa imebaki ID ya The Mongolian Savage ambaye sasa anaishi kama digidigi kw atahadhari kubwa maana "GunMan " nipo kazini na ukiacha kumchongea na kumuingiza katika 18 za ban mpaka zikafwekwa ID zote kwa wakati mmoja , ameshaexperience Umafia wangu like Vincenzo Cassano mpaka akawa analialia .