Putin alisema hotuba hii lini? Putin aliwahi kuzungumza kuhusu ubeberu wa kimagharibi akiwa na viongozi wa kiafrika lakini hajawahi kuisema Afrika na viongozi wake kwa namna ya kuwananga kama ulivyoandika hapo!
Ajabu ni kwamba watu wanachangia point kwa namna ya kukubaliana bila kujiuliza bwana Putin alisema jambo hili lini?
Ajabu ni kwamba watu wanachangia point kwa namna ya kukubaliana bila kujiuliza bwana Putin alisema jambo hili lini?