Alichosema Pengo kuhusu kura ya maoni

Alichosema Pengo kuhusu kura ya maoni



Lakini viongozi wa dini wakisema pigeni kura ya ndiyo au hapana au msiende kupiga kura hapo unajua sasa viongozi wa dini walishaacha dini wameanza kuvuta bangi.Sababu wanajipambanua kiitikadi.HILI TAMKO LA MAASKOFU LIKO CHINMI YA KIWANGO NA NI AIBU KULIITA TAMKO LA MAASKOFU LOOOOOO!!!! AIBU TUPU UTAFIKIRI HATA KUSOMA HAWAKUSOMA

Hiyo aibu ni zaidi ya ile iliyotumika kuhakikisha katiba inapita bungeni? Nafikiri ingekua bora zaidi tukajadili ni kwa nini maaskofu walifikia maamuzi hayo. Hivi kama mimi nnataka pepsi, wewe unaniletea fanta nikikataa utaniona mbaya?
 
CCM wako sahihi na UKAWA wako sahihi ila viongozi wa dini hawako sahihi.

Sababu viongozi wa dini hawatakiwi kuwa na upande (PARTISAN) sababu wao ni viongozi wa wote UKAWA na CCM

CCM na wanasiasa WENGINE WOTE haki zote sababu kazi ya mwanasiasa ni kuwa na upande fulani na kushawishi wapiga kura upande huo ndio siasa zenyewe.Mfano UKAWA wakisema pigeni kura ya hapana wako sahihi ndiyo sera za yao .Na CCM wanachama wake na viongozi wake kuanzia chini hadi juu wakisema pigeni kura ya NDIYO wako sahihi sababu kisiasa ndio sera yake kwenye hilo la kura ya maoni.

Lakini viongozi wa dini wakisema pigeni kura ya ndiyo au hapana au msiende kupiga kura hapo unajua sasa viongozi wa dini walishaacha dini wameanza kuvuta bangi.Sababu wanajipambanua kiitikadi.HILI TAMKO LA MAASKOFU LIKO CHINI YA KIWANGO NA NI AIBU KULIITA TAMKO LA MAASKOFU LOOOOOO!!!! AIBU TUPU UTAFIKIRI HATA KUSOMA HAWAKUSOMA

Kwa hiyo Democrasia ni Haki ya wana Siasa tu na kwako wewe Democrasia Maana yake ni Siasa sio ?
 
Naona unapiga chini ya mkanda hoja kama hizi usitegemee zitajiwabiwa hata siku moja sana sana utasikia ngojera za pwagu na pwaguzi.

Kwa hiyo Democrasia ni Haki ya wana Siasa tu na kwako wewe Democrasia Maana yake ni Siasa sio ?
 
Kwa hiyo ulitaka aunge mkono kitu kisicho sahihi kidemokrasia? Ambacho ukikiweka kwenye Mizani ya ukweli wa kidemokrasia hakina uzito? TEC Si mwenyezi mungu asiyekosea.

Mungu Kati ya majina yake mojaewapo anaitwa kweli, TEC Walisimama na kweli, moja kingunge ni mganga wa kienyeji? je kura za kuipitisha katiba pendekezwa zilikuwa kweli? maana nasikia Hansard inainyesha marehemu kupiga kura! TEC wakifanya analysis ya kweli ndio kisa cha kutoa mwingozo wa kura ya hapana, Pengo yeye anaona yote hayo sawa? au alikuwa hajui kilichotokea? au ni mnafiki??????
 
Mungu Kati ya majina yake mojaewapo anaitwa kweli, TEC Walisimama na kweli, moja kingunge ni mganga wa kienyeji? je kura za kuipitisha katiba pendekezwa zilikuwa kweli? maana nasikia Hansard inainyesha marehemu kupiga kura! TEC wakifanya analysis ya kweli ndio kisa cha kutoa mwingozo wa kura ya hapana, Pengo yeye anaona yote hayo sawa? au alikuwa hajui kilichotokea? au ni mnafiki??????

Precisely, East African Eagle anatakiwa kwanza aongelee msingi wenyewe uliopelekea TEC kuja na hayo maamuzi. Huwezi kuwapa watu kitu kisicho halali kisha ukawaambia wachague. Ndio maana njia bora ikawa kwanza ni kuonyesha msimamo wa kukikataa ili kama itawezekana marekebisho kufanyika yafanyike vinginevyo msimamo ujulikane kabisa kwamba mchakato wote ulikua na kasoro tangu mwanzo.
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo Democrasia ni Haki ya wana Siasa tu na kwako wewe Democrasia Maana yake ni Siasa sio ?

Fani ya dini ukitaka kufanya vizuri ni kukaa mbali na dunia na siasa zake na kuwa karibu na mwenyezi mungu tu.

Lakini viongozi wa dini kujichanganya na kuwa sehemu ya dunia na mambo yake matokeo yake ndiyo hayo.Unalkuta kuna maaskofu na mapadri mashoga,wanaolawiti watoto nk.Yote hii ni kutaka kuwa karibu na dunia.Ndio unakuta ghafla padri au askofu kageuka UKAWA au CCM na akitoa tamko unajua huyu UKAWA huyu au CCM huyu.Kiongozi wa dini hatakiwi kujulikana chama gani.Iwe kwa tamko lake au vipi.
 
Fani ya dini ukitaka kufanya vizuri ni kukaa mbali na dunia na siasa zake na kuwa karibu na mwenyezi mungu tu.

Lakini viongozi wa dini kujichanganya na kuwa sehemu ya dunia na mambo yake matokeo yake ndiyo hayo.Unalkuta kuna maaskofu na mapadri mashoga,wanaolawiti watoto nk.Yote hii ni kutaka kuwa karibu na dunia.Ndio unakuta ghafla padri au askofu kageuka UKAWA au CCM na akitoa tamko unajua huyu UKAWA huyu au CCM huyu.Kiongozi wa dini hatakiwi kujulikana chama gani.Iwe kwa tamko lake au vipi.

Kwa hiyo Mwenyekiti wa CCM kumpa ubunge wa viti Maalum Mchungaji Lwakatare ile ilikuwa ni Kufuru sio ?
 
Huo ni mcmamo wake na ule ni mcmamo wa TEC. Sasa mbona mnamzonga? Muulizen gwajima atawambia kilichomkuta.
 
Lakini mbona kwenye lile tamko hawajawataja ambao walipingana na tamko? Pia tuleteeni hyo document ambayo inaonyesha saini ya pengo kukubaliana na tamko la TEC......
 
Wale ambao hamkumsikia live Mzee wa Hekima Mwanademokrasia wa kweli Kadrinali Pengo alichosema kuhusu wananchi kuachwa huru waamue kidemokrasia watapiga kura ya ndiyo au hapana bila kushinikzwa msikilize mwenyewe hapa

[video=youtube;2Z18]https://www.youtube.com/watch?v=2Z18[/video]

Mbona video muda wake ni zero au tutasikia kupitia Roho Mtakatifu?
 
Si mara moja Pengo anagubikwa na woga na kutangaza misimamo ambayo haina uhalisia...

Tukio la mabomu kanisani Olasiti Arusha (Kanisa la Mt. Joseph Mfanyakazi) aliidanganya dunia kuwa waumini wa kanisa lile walikuwa wanalipuana wenyewe kwa wenyewe. Watu wa Arusha, viongozi wa kanisa pamoja na waumini wao waliwajua walipuaji lakini yeye alienda kinyume nao... Wengi waliita ni busara...lakini mimi nasema ni ulaghai au woga!! Uchunguzi wa polisi ulikuja kuthibitisha kuwa walipuaji wa mabomu yale walikuwa si waumini wa kanisa lile...!!

Suala la Katiba na kura ya maoni kila mtu anajua kuwa haki haikutendeka...Hata CCM na wafuasi wao wanatambua hilo! Nawangelitendea walivyowatendea UKAWA wasingelikubali mbingu na ardhi!!
Ukweli ni kuwa mchakato wa Katiba Mpya ulianza kwa haramu...sasa haramu haiwezi kuzaa halali...

Pengo angeeleweka kama nabii wa ukweli endapo angesimama upande wa ukweli na kukemea maovu yote yaliyojificha chini ya muamvuli wa Katiba Mpya... Pengo angepata heshima kama angewaelekeza wananchi kupinga kutokuwa muhuri wa kuhalalisha uovu uliofanywa na wenye madaraka!!!

Inawezekana hana sauti kule TEC au inawezekana pia alisaini bila kusoma Tamko la Maaskofu... na huu ni udhaifu wake mkubwa!!
Biblia niliyowahi kusoma iliniambia kuwa kila nabii hadi Yesu Kristo alikuwa upande wa wale wanaonyanyaswa na kudhulumiwa na tawala za viongozi madhalimu!!

Pengo amedhibitisha kuwa yeye anawatumikia wale wanaokandamiza haki za wananchi...

Ukweli ni ukweli jana, leo, kesho na milele!! Ukweli haujifichi kamwe!! Asiyeukubali ukweli ni mnafiki....
 
Tatizo la pengo ni hili kama anataka watu waachwe watumie demokrasia kwa nini anakaa kimya kukanya kundi linalo taka wananchi waipigie kura ya ndiyo hiyo katiba inayo pendekezwa?
 
Fani ya dini ukitaka kufanya vizuri ni kukaa mbali na dunia na siasa zake na kuwa karibu na mwenyezi mungu tu.

Lakini viongozi wa dini kujichanganya na kuwa sehemu ya dunia na mambo yake matokeo yake ndiyo hayo.Unalkuta kuna maaskofu na mapadri mashoga,wanaolawiti watoto nk.Yote hii ni kutaka kuwa karibu na dunia.Ndio unakuta ghafla padri au askofu kageuka UKAWA au CCM na akitoa tamko unajua huyu UKAWA huyu au CCM huyu.Kiongozi wa dini hatakiwi kujulikana chama gani.Iwe kwa tamko lake au vipi.

Kwa mujibu wa maneno yako Pengo kwa sababu fani yake ni dini hakupaswa na wala hakutakiwa kabisa kutaja katiba.
 
Tatizo la pengo ni hili kama anataka watu waachwe watumie demokrasia kwa nini anakaa kimya kukanya kundi linalo taka wananchi waipigie kura ya ndiyo hiyo katiba inayo pendekezwa?

Wanaoendesha kampeni ya ndiyo ni wanasiasa tena was CCM ni haki yao kwa kuwa ni wanasiasa wengine viongozi wa CCM ndio kazi yao kushawisi watu wapige upande wao.UKAWA nao wakipiga kampeni ya hapana ni sawa ni haki yao kama wanasiasa.Ruksa tena ruksa.Ila viongozi wa dini wakipiga kampeni iwe ya kupiga kura ya ndiyo au ya hapana au ya watu wasiende kupiga kura hapo hakuna wamekosea.Wanasiasa wote ruksa kuwa na upande lakini sio viongozi wa dini.

Rwanda mauaji ya kimbari yalitokea hasa kwa wakristo sababu walikuwa na upande wa kisiasa wengine walikuwa upande wa kihutu wengine upande wa Kitusi.Badala ya viongozi wa kidini kuwa neutral wakawa na pande zao za kisiasa.

Viongozi wa dini kuwa na upande ni NO NO NO NO NO
 
CCM wako sahihi na UKAWA wako sahihi ila viongozi wa dini hawako sahihi.

Sababu viongozi wa dini hawatakiwi kuwa na upande (PARTISAN) sababu wao ni viongozi wa wote UKAWA na CCM

CCM na wanasiasa WENGINE WOTE haki zote sababu kazi ya mwanasiasa ni kuwa na upande fulani na kushawishi wapiga kura upande huo ndio siasa zenyewe.Mfano UKAWA wakisema pigeni kura ya hapana wako sahihi ndiyo sera za yao .Na CCM wanachama wake na viongozi wake kuanzia chini hadi juu wakisema pigeni kura ya NDIYO wako sahihi sababu kisiasa ndio sera yake kwenye hilo la kura ya maoni.

Lakini viongozi wa dini wakisema pigeni kura ya ndiyo au hapana au msiende kupiga kura hapo unajua sasa viongozi wa dini walishaacha dini wameanza kuvuta bangi.Sababu wanajipambanua kiitikadi.HILI TAMKO LA MAASKOFU LIKO CHINI YA KIWANGO NA NI AIBU KULIITA TAMKO LA MAASKOFU LOOOOOO!!!! AIBU TUPU UTAFIKIRI HATA KUSOMA HAWAKUSOMA

Viongozi wa dini hawatakiwi wawe na upande, lakini kwa mchakato wa kuandika katiba mpya na hasa kwa kuzingatia kuwa maoni ya wananchi yalichakachuliwa na mengine kuongezwa nje ya utaratibu, viongozi wa dini kama wadau na wanaotaka mambo yarudi kwenye mstari lazima waseme. Na wanaposema wanawasemea mabilioni ya wananchi walio nyuma yao. So,it's wrong to think or imagine that religious leaders have no say in matters of national interest!
 
Wanaoendesha kampeni ya ndiyo ni wanasiasa tena was CCM ni haki yao kwa kuwa ni wanasiasa wengine viongozi wa CCM ndio kazi yao kushawisi watu wapige upande wao.UKAWA nao wakipiga kampeni ya hapana ni sawa ni haki yao kama wanasiasa.Ruksa tena ruksa.Ila viongozi wa dini wakipiga kampeni iwe ya kupiga kura ya ndiyo au ya hapana au ya watu wasiende kupiga kura hapo hakuna wamekosea.Wanasiasa wote ruksa kuwa na upande lakini sio viongozi wa dini.

Rwanda mauaji ya kimbari yalitokea hasa kwa wakristo sababu walikuwa na upande wa kisiasa wengine walikuwa upande wa kihutu wengine upande wa Kitusi.Badala ya viongozi wa kidini kuwa neutral wakawa na pande zao za kisiasa.

Viongozi wa dini kuwa na upande ni NO NO NO NO NO

Hujui kilichotokea Rwanda. jaribu kusoma historia ya Rwanda na utaelewa. Nimebahatika kusoma na mhutu na mtutsi walau ninajua kidogo background from the horse's mouth.
 
Fani ya dini ukitaka kufanya vizuri ni kukaa mbali na dunia na siasa zake na kuwa karibu na mwenyezi mungu tu.

Lakini viongozi wa dini kujichanganya na kuwa sehemu ya dunia na mambo yake matokeo yake ndiyo hayo.Unalkuta kuna maaskofu na mapadri mashoga,wanaolawiti watoto nk.Yote hii ni kutaka kuwa karibu na dunia.Ndio unakuta ghafla padri au askofu kageuka UKAWA au CCM na akitoa tamko unajua huyu UKAWA huyu au CCM huyu.Kiongozi wa dini hatakiwi kujulikana chama gani.Iwe kwa tamko lake au vipi.

Hili la katiba tusidanganyane - kila mdau lazima ashiriki ili sheria zitakazotokana na katiba (kama ni nzuri) ziwanufaishe wote na kama ni mbaya zitawaathiri wote! Hivyo, ni kutojua siasa ni nini kwa mtu anayedhani viongozi wa dini kutoa maoni yao ni kuchanganya dini na siasa. Mbona wakisifia kazi nzuri fulani ikifanywa na serikali au wanapoombwa wasaidie kuboresha huduma za kijamii na kuwalea watoto yatima, wa mitaani na wanaoishi na virusi vya ukimwi hamsemi ni kuchanganya dini na siasa ila pale wanapoikosoa serikali tu ndipo wanapochanganya dini na siasa?
 
Back
Top Bottom