Alichonifanyia ni sahihi?


Mambo si hayo sasa, hapa palihitajika hilo ndio mana nikachokoa ati
 
utaliwa kiboga shauri yako. huyo hajampeleka mtoto kwa babake, ameachana naye tu kwa mda ila ni mke wa mtu. jamaa yake bado anamtaka. subiri utaona.
 

Mwanamke anayeweza kumuacha mtoto wa tumbo lake ea miezi minne tena mtoto wa pekee amini nakwambia siku yaja atakuachaukiwa ICU ukiumwa na kwemda kupiga starehe hata kuolewa ukiwa kitandani hoi.
 

Kwanza kutokana na stori yako wewe na msichana huyo hsmfahamiani sana.Kama ungelikuwa unamfahamu tangu mudaungelijua kuwa ana mtoto maana mtoto mwenyewe ni mchanga sasa how comes wiki mbili zakufahamiana ushaweka mpaka maagano yote hayo?
Husiamue mambo kwa emotion mkuu
 

huna mke na keep it on your mind unapofinance kuns dume mwenzio anapendezeshwa!!!!!!
 

hahahaha hebu toa maelezo, haya yote umeyajulia wap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…