Majina yote weka hapa. Ukweli uko pale pale. Hakuna mtu anataka kutokuwa mwoga kwa au mnafiki kwa kuleta fujo ambazo hazina tija. Twende mbele na turudi, si njia njema.
Tujadili hoja.
hoja ipi hiyo? ya wewe kujiita kuwa ni mwanachadema wakati unajua kabisa ukweli sio huo?
Acha crap zako bana, ukileta bange hapa, utazipata tu maana haya nyani haangaliwi usoni.
Unafiki wako peleka huko huko Lumumba walikokutuma.