Alichofanya Rais Kikwete Australia ni sahihi?

Huyo ni wa kumwacha tu,
Usishangae ameikimbia nchi, unashangaa kualika wanawe.
Inamaana JK bado hajafika tu kwenye sakafu ya mwisho (rock bottom) ya ujinga na udhaifu wake?
Kila aliyempigia JK kura iwe 2005 au 2010 ajitafakari na kujuta kwa kweli.
 
Wadau,

Sote tunafahamu kwamba Rais Kikwete yuko ziarani Australia kwa Mualiko wa Gavana Mkuu Peter Cosgrove.

Pamoja akufanya mazungumzio na waziri mkuu Tonny Abbott, Kikwete aliandaliwa dhifa rasmi ya chakula cha mchana yeye na ujumbe wake!

Ujumbe wake umeambaana na vigogo wa MFA na Waziri Abood Pamoja na mkewe Mama Salma!

Kilicho ni shangaza ni kumuona mtoto wa Kikwete Ally JK akiwa katika ujumbe wa JK!

Ni sahihi? Yuko pale kama nani? inamaana status ya Balozi Maharage na ya Mtoto wa kikwete ni sawa?

Utaratibu ukoje? Ikizingatiwa bwana mdogo anasoma Malaysia na si Australia!


Pichani: Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea wakati wa chakula cha mchana kwenye jumba la serikali jijini Sydney tarehe 28 Julai 2015 baada ya kukutana na kufanya mazungumzo na Gavana Mkuu wa Australia Mheshimiwa Peter Cosgrove. PICHA NA IKULU

Haina shida...

Kagame alienda na bint yake white house marekani... Obama mwenyewe hutembea na wanae sometimes

Au ulitaka uende weye...
 
Kuwa na familia yake kwani ni vibaya?Mbona ni jambo la kawaida tu!Tuwe na appreciation basi kwa mazuri aliyoyafanya,siyo kilasiku kumlaumu tu!utadhani hajafanya kitu!tujaribu kumjengea positive mind!
 
Ulitaka alike panya acheni maneno kwa rais wenu mbona Obama anakuwa na watoto wake kwenye dhifa za kitaifa
 
Labda atakuwa ameenda kushughulikia Simba trust hivyo ni muhimu wanafamilia kuwa na uwakilishi wa kutosha.
 
Kura hata mie nilimpigia,
Ubunge ndo nikampa yule bwana mdogo anayeteswa na maji.

Inamaana JK bado hajafika tu kwenye sakafu ya mwisho (rock bottom) ya ujinga na udhaifu wake?
Kila aliyempigia JK kura iwe 2005 au 2010 ajitafakari na kujuta kwa kweli.
 
Wadau,

Sote tunafahamu kwamba Rais Kikwete yuko ziarani Australia kwa Mualiko wa Gavana Mkuu Peter Cosgrove.

Pamoja akufanya mazungumzio na waziri mkuu Tonny Abbott, Kikwete aliandaliwa dhifa rasmi ya chakula cha mchana yeye na ujumbe wake!

Ujumbe wake umeambaana na vigogo wa MFA na Waziri Abood Pamoja na mkewe Mama Salma!

Kilicho ni shangaza ni kumuona mtoto wa Kikwete Ally JK akiwa katika ujumbe wa JK!

Ni sahihi? Yuko pale kama nani? inamaana status ya Balozi Maharage na ya Mtoto wa kikwete ni sawa?

Utaratibu ukoje? Ikizingatiwa bwana mdogo anasoma Malaysia na si Australia!


Pichani: Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea wakati wa chakula cha mchana kwenye jumba la serikali jijini Sydney tarehe 28 Julai 2015 baada ya kukutana na kufanya mazungumzo na Gavana Mkuu wa Australia Mheshimiwa Peter Cosgrove. PICHA NA IKULU

Lazima Ally JK awepo maana ndio Simba Trust wenyewe hao ...pesa Yao ya Mgao iliyopelekwa kwa Malory Waama ..wamebadili into dollars na ndio Chanzo cha shilingi kuyumba bila sababu
Habari za uhakika ..Simba Trust imewekeza jumla ya Usd 2.5 billion ..Australia ...na kwa uwekezaji huo Kama incentives wakurugenzi wake wote wamepewa honorary residents status .

Kwa Afrika mashariki viongozi wengine wenye ardhi kubwa na uwekezaji huko ni Raila .

Kabila ya kwenda huko alipita kuhamisha pesa zake Swiss kwa kuwa wanna Tabia ya kuwazima viongozi pesa wakiondoka madarakani ...
 
attachment.php


mhh..ni mtoto wa jk huyu?....

Huyo ni mtoto wake kabisa, amesoma Kamuzu Academy (Malawi) form 1-6 af kaenda USA kusoma chuo mwaka 2011
 
Lazima Ally JK awepo maana ndio Simba Trust wenyewe hao ...pesa Yao ya Mgao iliyopelekwa kwa Malory Waama ..wamebadili into dollars na ndio Chanzo cha shilingi kuyumba bila sababu
Habari za uhakika ..Simba Trust imewekeza jumla ya Usd 2.5 billion ..Australia ...na kwa uwekezaji huo Kama incentives wakurugenzi wake wote wamepewa honorary residents status .

Kwa Afrika mashariki viongozi wengine wenye ardhi kubwa na uwekezaji huko ni Raila .

Kabila ya kwenda huko alipita kuhamisha pesa zake Swiss kwa kuwa wanna Tabia ya kuwazima viongozi pesa wakiondoka madarakani ...

Kwanini niamiini tarifa yako nipe chanzo....interesting!
 
Back
Top Bottom