Cute Cindy
JF-Expert Member
- Apr 9, 2019
- 211
- 598
Juzi kati nlikuwa nakula chipsi mayai mahali flan..sasa akaja mama mmoja mtu mzima hlf mnene ambae nlifahamiana nae miez 6 tu iliopita...kuna siku moja baada ya kufahamiana nae aliniomba elf 1 nikampa kiroho safi
Sasa juzi ananikuta nakula chips yai akaniomba nimnunulie bia nikakataa, akaingia kwenye banda LA muuza chips, bila kumuomba muuza chipsi akakuta vichipsi kidogo vilivyobakia maana chips kavu zilikuwa zimeisha, akaziweka kwenye upawa akaanza kula, heeeeee si akahamia kwenye sahani yangu ya chipsi yai, tena alikuwa anakata bonge LA kipande, nikaikwepesha sahani yangu nikamwambia hapana, akataka tena akate kipande kidogo zaidi nikaikwepesha sahani yangu nikamwambia hapana..hadi yule muuza chipsi akawa ananiangalia kwa mshangao..
Situation iliofuatia hapo ilikuwa very awkward, maana nlijisikia aibu, nlivomaliza tu kula, nkalipa na kusepa, watu wengine wanaleta aibu kwa kweli..kwa upande wangu nahisi nlifanya makosa kumnyima ila kwa wakati huo sikujisikia tu kumpa..
Sasa juzi ananikuta nakula chips yai akaniomba nimnunulie bia nikakataa, akaingia kwenye banda LA muuza chips, bila kumuomba muuza chipsi akakuta vichipsi kidogo vilivyobakia maana chips kavu zilikuwa zimeisha, akaziweka kwenye upawa akaanza kula, heeeeee si akahamia kwenye sahani yangu ya chipsi yai, tena alikuwa anakata bonge LA kipande, nikaikwepesha sahani yangu nikamwambia hapana, akataka tena akate kipande kidogo zaidi nikaikwepesha sahani yangu nikamwambia hapana..hadi yule muuza chipsi akawa ananiangalia kwa mshangao..
Situation iliofuatia hapo ilikuwa very awkward, maana nlijisikia aibu, nlivomaliza tu kula, nkalipa na kusepa, watu wengine wanaleta aibu kwa kweli..kwa upande wangu nahisi nlifanya makosa kumnyima ila kwa wakati huo sikujisikia tu kumpa..