Alibaba Refund

Alibaba Refund

Mabenki ya kibongo yanazingua sana maana frdha ikirudi hawaapprove moja kwa moja bali mpaka uwafuatilie na kuanza kukuomba vielelezo. Mimi nina refund ilifanywa tarehe 29 April lakini mpaka leo haijaonekana kwangu (ni kupitia Equity Bank), hao equity wakataka niwape ARN, lakini PayPal ambao ndio waliofanya refund wakasema hawana ARN zaidi ya proof ya email kuonesha kuwa edha imerudi, kwa hiyo nisikilizie tu benki yangu wanasemaje. Equity baada ya kuwapigia wanasema hela wanaiona ila kuapprove ndio mpaka ARN, kwa hiyo nimebaki nasikilizia tu.

Lakini kwa hizi virtual cards (mastercard za mpesa nk) mambo ni fasta, refund ikifanyika, ni siku 1 tu mzigo unaingia kwenye card, kwa hiyo ni vyema sana manunuzi ya mtandaoni kutumia hizi virtual cards kuondoa usumbufu wa kusikilizia hela kwa benki za Tanzania
 
Mabenki ya kibongo yanazingua sana maana frdha ikirudi hawaapprove moja kwa moja bali mpaka uwafuatilie na kuanza kukuomba vielelezo. Mimi nina refund ilifanywa tarehe 29 April lakini mpaka leo haijaonekana kwangu (ni kupitia Equity Bank), hao equity wakataka niwape ARN, lakini PayPal ambao ndio waliofanya refund wakasema hawana ARN zaidi ya proof ya email kuonesha kuwa edha imerudi, kwa hiyo nisikilizie tu benki yangu wanasemaje. Equity baada ya kuwapigia wanasema hela wanaiona ila kuapprove ndio mpaka ARN, kwa hiyo nimebaki nasikilizia tu.

Lakini kwa hizi virtual cards (mastercard za mpesa nk) mambo ni fasta, refund ikifanyika, ni siku 1 tu mzigo unaingia kwenye card, kwa hiyo ni vyema sana manunuzi ya mtandaoni kutumia hizi virtual cards kuondoa usumbufu wa kusikilizia hela kwa benki za Tanzania
Me nashukuru leo wameni refund aisee.. ila naona hizi virtual card ziko bomba sana.. sema sijajua maximum amount inayoweza kuhold ni kiasi gani.. na Airtel naona ni nzuri zaidi sababu haina zile mambo za kuhamisha pesa kwa ajili ya muamala tu.. just ukiweka pesa unaituma direct...
 
Mabenki ya kibongo yanazingua sana maana frdha ikirudi hawaapprove moja kwa moja bali mpaka uwafuatilie na kuanza kukuomba vielelezo. Mimi nina refund ilifanywa tarehe 29 April lakini mpaka leo haijaonekana kwangu (ni kupitia Equity Bank), hao equity wakataka niwape ARN, lakini PayPal ambao ndio waliofanya refund wakasema hawana ARN zaidi ya proof ya email kuonesha kuwa edha imerudi, kwa hiyo nisikilizie tu benki yangu wanasemaje. Equity baada ya kuwapigia wanasema hela wanaiona ila kuapprove ndio mpaka ARN, kwa hiyo nimebaki nasikilizia tu.

Lakini kwa hizi virtual cards (mastercard za mpesa nk) mambo ni fasta, refund ikifanyika, ni siku 1 tu mzigo unaingia kwenye card, kwa hiyo ni vyema sana manunuzi ya mtandaoni kutumia hizi virtual cards kuondoa usumbufu wa kusikilizia hela kwa benki za Tanzania
Na nilikuwa na mpango wa kuhamia equity from CRDB aisee kwa hii mbanga yako imenistaajabisha
 
Hii ipoje mkuu? na miamala yake ina usalama kiasi gani?
Hiyo visa card ni card ya kufeed pesa na ikiisha una top up na ni kadi kama zilivyo vocha za ttcl zamani kupiga simu kwenye vibanda vya simu
 
Mm nampango wa kuagiza pikipiki ya kuchaji....naomben utaratibu
 
Achanen na Local bank kwenye manunuzi ya mitandaoni ni wahuni, hawaelewi kitu zaidi ya trial balance

Best Bank kwa hayo mambo ni FNB
 
Mkuu tumia equity bank tu hutojuta,nishatokewa na matatizo kama hayo huduma ni fasta sana hakuna delay hata kidogo. Ni ukosefu wa wataalamu tu wala hakuna muda wa kusubiri
 
Wakuu Assalam Alaykum hope wazima kwa ujumla..

Naomba niende kwenye mada direct..

Mimi ni beginner wa kununua bidhaa online sasa tarehe 28 mwezi wa 3 nilifanya transaction Alibaba kutoka CRDB kiasi cha $306 na $34 kwa tofauti ya week 1 hivi kulipia vifaa vyangu flani hivi sasa jamaa hawakuwa na stock nilisubiri mpaka mwezi wa 5 lakini wapi sasa mwanzoni mwezi huu nikaona ni open dispute ili wani refund, nikafanya hivyo na dispute ikawa processed uzuri supplier akakubali malalamiko yangu na tarehe 5 mwezi huu pesa ikarudishwa kwenye account yangu... kimbembe hiyo pesa kuonekana.. Wao Alibaba wamenipa ARN number inayo trace pesa yangu na.wamenishauri incase nisipoiona niende bank, Bank (CRDB) nimeenda ila hawajui namna ya kuitrace, so nipo njia panda sijui pesa yangu nitairudisha vipi.. so kwa yeyote atakaye weza nisaidia nitashukuru sana maana naelekea kukata tamaa kwa kweli

Hapo chini naambatanisha hizo.ARN number incase for reference..

Ahsanteni sana


Picha zimegoma kuwa uploaded.. ila kwa msaada nipo tayari kuzituma kwa yeyote na namna yeyote ile
Utaipata tu pesa uwa haipotea. Sema bank zetu wafanyakazi hawajui mambo mengi hata hiyo ARN huenda hawajui ni nini.
Mwaka mwezi wa saba kuna watu walinilipa usd 2200 kutoka spain haikufika, kwenye acc wakanitumia ushaihid na message ya mfumo wa kibenk ambayo inaweza tumika kutrace hiyo pesa. Sikupata msaada upande wa bank yangu mpaka nilikata tamaa. Hiyo pesa nilikuja kuipokea after like 2 months na nilikuwa nshakata tamaa na kuamua kuachana nayo.
 
Back
Top Bottom