Ali Kiba na Abby Daddy waingia katika mgogoro mzito, WCB wahusishwa

Waende 50 50 kwani production ajalipwa promo je anachangia au apana kama kwel 50 50 jamaa iyo ni ujuma bana
 
Haya mambo yataisha lini bongo
Tanzania ni nchi ya ajabu ajabu sana figisu kila idala ndio maana tunadolola tatizo la mtu na mkewe unasema mshenga ndio kikwazo kwani bila wewe kumjua huyo mwanamke mshenga angekujua wewe. Tuache kuweka matatizo yetu kwa kisingizio cha mtu furani kama tatzo la kiba deal with it not include your fellows as a excuse
 
Pengine aje inaweza ikawa nyimbo ya mwisho ya alikiba chini ya producer abydad ambaye ametengena nyimbo kadhaa za alikiba.

Abydad ambaye ametengeza hit kama [HASHTAG]#nagharamia[/HASHTAG] [HASHTAG]#chekecha[/HASHTAG] na [HASHTAG]#aje[/HASHTAG] ambazo zilifanya vizuri Sana.

Hivi karibuni ilikuwa inatarajiwa kuachiwa [HASHTAG]#aje[/HASHTAG] remix ambayo ilipangwa kuachiwa November 29 siku ya birth day ya alikiba,

Lakini habari zinazoendelea kusambaa ambazo zilianza Kama masihara ila kwa sasa zinaanza kuaminika kutokana na taarifa za watu wa karibu,

Ni kwamba abydad ndo anayechelewesha kutoka kwa aje remix na mpaka sasa amekataa kutia sahihi yake kwenye mkataba ili ngoma iwe released.

Abydad anataka 50%/50% katika nyimbo ya aje ikiwemo katika show iTunes na mapato yatakayo patikana abydad anataka nusu kwa nusu.

Kuna taarifa kwamba wcb wanamrubuni abydad ili aachane na kiba japo taarifa hizo sio confirmed
Hii ni baada ya Ku tengeneza 'kokoro' View attachment 442363
Hiyo ni kiki ya kutolea nyimbo..acheni unaa nyie..wewe ushaona VP wehu wenye wivu wanagombana...allykiba ni kiazi kwa diamond.. Ally mshinde kwanza dimpoz na barnaba boy ndo uje ushindane na diamond
 
Mkuu pwilo,

Umekosea sana kumuhusisha Simba na tofauti iliyopo kati ka kiba na aby daddy! (Kama tofauti zao zimekuwa kubwa kiasi hicho)

Kuhusu wimbo wa kokoro:
Wimbo huu haujarekodiwa juzi juzi kama unavyodhani.. Wimbo umerekodiwa kabla mavoko hajamwaga wino rasmi wcb (ndio walikuwa kwenye mazungumzo)

Kwahiyo kipindi mavoko ameingia rasmi wcb tayari alikuwa na huu wimbo ukiwa umeingizwa verse moja tayari na ulikuwa na chorus tofauti kidogo na hii chorus ya sasa (zinafanana kidongo ingawa).
Na ieleweke kuwa mavoko pia anazo nyimbo nyingine nyingi hazijatoka zimerekodi kabla hajaingia wcb!

So miezi kama miwili iliyopita baada ya kukubaliwa kuwa wimbo huu utoke na kufanyiwa video, kilichofanyika ni kuurekebisha kiasi na kuuboresha... Ndio hapo Simba akaingiza verse yake na kuingiza sauti kwenye chorus.. Kisha Laizer akaujazia vionjo vichache na kuufanyia 'mastering'..
Hicho ndicho kilichofanyika..

Si sawa kumuhusisha Diamond na kila kitu cha Kiba kinachoenda kombo!
Kwa niaba ya mashabaki wote wa Diamond platnumz na WCB, tuwaoombee heri Kiba na Abby Daddy wafikie muafaka na waendelee na kazi.. Tunahitaji wasanii wengine waongezeke kuiwakilisha Tanzania kimataifa! Kiba kukosana na Abby daddy ni setback na sio suala linalosogeza mziki wetu..


The Bold.
Wasanii wetu wangekuwa na team zenye utimamu kichwani kama The bold natumaini tungekuwa tunasomeka Somewhere na Music Industry yetu.

Nashukuru kwa andishi lako chief
 
Mkuu pwilo,

Umekosea sana kumuhusisha Simba na tofauti iliyopo kati ka kiba na aby daddy! (Kama tofauti zao zimekuwa kubwa kiasi hicho)

Kuhusu wimbo wa kokoro:
Wimbo huu haujarekodiwa juzi juzi kama unavyodhani.. Wimbo umerekodiwa kabla mavoko hajamwaga wino rasmi wcb (ndio walikuwa kwenye mazungumzo)

Kwahiyo kipindi mavoko ameingia rasmi wcb tayari alikuwa na huu wimbo ukiwa umeingizwa verse moja tayari na ulikuwa na chorus tofauti kidogo na hii chorus ya sasa (zinafanana kidongo ingawa).
Na ieleweke kuwa mavoko pia anazo nyimbo nyingine nyingi hazijatoka zimerekodi kabla hajaingia wcb!

So miezi kama miwili iliyopita baada ya kukubaliwa kuwa wimbo huu utoke na kufanyiwa video, kilichofanyika ni kuurekebisha kiasi na kuuboresha... Ndio hapo Simba akaingiza verse yake na kuingiza sauti kwenye chorus.. Kisha Laizer akaujazia vionjo vichache na kuufanyia 'mastering'..
Hicho ndicho kilichofanyika..

Si sawa kumuhusisha Diamond na kila kitu cha Kiba kinachoenda kombo!
Kwa niaba ya mashabaki wote wa Diamond platnumz na WCB, tuwaoombee heri Kiba na Abby Daddy wafikie muafaka na waendelee na kazi.. Tunahitaji wasanii wengine waongezeke kuiwakilisha Tanzania kimataifa! Kiba kukosana na Abby daddy ni setback na sio suala linalosogeza mziki wetu..


The Bold.
Akili kubwa.
Thanks the bold
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom