kama kila akitoa ngoma kutakuwa na izi kampeni basi atakuwa anagonga kila siku.....lakini kama zikikata atarudi kuleAimbe tu hata atajetaje majina tutamsapoti king kiba na atagota viewars 2m
kama kila akitoa ngoma kutakuwa na izi kampeni basi atakuwa anagonga kila siku.....lakini kama zikikata atarudi kuleAimbe tu hata atajetaje majina tutamsapoti king kiba na atagota viewars 2m
hahahaaaah nakuonea huruma.....Kawaida ya waafrika kujikweza wakati uwezo mdooogooo fuull kubebwa na bifu
Upo sahihi mkuu. Ukiacha umaarufu na mambo mengine, hakuna msanii anayemzidi mashairi Rama dee. Sikikiza nyimbo zake utanielewaHayo ni mawazo yako tu. Mbona Mr nice alifanikiwa. Je, walimfananisha na nani ili kumnunisha?
By the way, kwenye interview yake hajazungumzia kuhusu mond. Ntie ndo msiopenda mwingine afanikiwe zaidi ya mond
Yaani mnataka mond tu ndo awe mfanikiwaji.
Ningekuona unaakili kama ungekua mshabiki wa christian Bella au rama dee au dogo aslay. Maana hawa naviona vipaji ndani yao..
Hicho ulichoandika wewe, kinaakisi kuwa upo team gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli kwamba watanzania hatupendi kuona mtu anafanikiwa lahasha. Kinachokwaza kwa wasanii wetu ni akifanikiwa kidogo matako hulia mbwata na kujiona ye ndio yeye ndio mana waliompandisha wanafanya juhudi zote kumshusha . Huyo msanii wako mwambie ajifunze kua humbled kila mtu atamkubali mbona anajua sana kuimba.
If that is the case mbona yule bongo move marehemu alikua anafanikiwa sana tena sana tu lakini bado alikua na washabiki kibaao wala hakuna aliyekua anamdiss kutokana na mafanikio yake?
Kiba yuko overrated sana, sio msanii mzuri kivile, wa kawaida sana. Ana bahati watanzania wengi tuna chuki na mafanikio ya mtu mwingine, ashukuru Mungu Diamond anafanikiwa sana kimuziki na sisi watanzania hatupendi mtu afanikiwe hivyo tunamsifia ili tu kumnunisha Diamond kwa sababu ya mafanikio yake.
Kawaida ya waafrika kujikweza wakati uwezo mdooogooo fuull kubebwa na bifu
Kumbeiyo ni ya kitambo sana sema inaowaongezea watu nyongo
Hivi akikaa kimya atapungukiwa na nini??Kwa kweli... maana si kwa kampeni ile
Halafu Too bad nasikia Domo katapika insta itazidi kumpoteza...ngoja nikasake huu ubuyy
Alafu watu hajui nkisema Paris mzuri simanishi London mbaya. Washabiki wengi wa Mondi wanathani kumpenda Ally tunamchukia Mondi lashaha.Hayo ni mawazo yako tu. Mbona Mr nice alifanikiwa. Je, walimfananisha na nani ili kumnunisha?
By the way, kwenye interview yake hajazungumzia kuhusu mond. Ntie ndo msiopenda mwingine afanikiwe zaidi ya mond
Yaani mnataka mond tu ndo awe mfanikiwaji.
Ningekuona unaakili kama ungekua mshabiki wa christian Bella au rama dee au dogo aslay. Maana hawa naviona vipaji ndani yao..
Hicho ulichoandika wewe, kinaakisi kuwa upo team gani
Sent using Jamii Forums mobile app
punguza jazba
Malikia bhna
exactly hii ndo shida yetu na wivu tu kwa mond. nimegundua wenye chuki na mond ndo wanatumia kichaka cha Ali kiba kumkomoa huyu kijana.Kiba yuko overrated sana, sio msanii mzuri kivile, wa kawaida sana. Ana bahati watanzania wengi tuna chuki na mafanikio ya mtu mwingine, ashukuru Mungu Diamond anafanikiwa sana kimuziki na sisi watanzania hatupendi mtu afanikiwe hivyo tunamsifia ili tu kumnunisha Diamond kwa sababu ya mafanikio yake.
next time don't do that plz
Kiukweli ule wimbo bila Mange usngehit kihivyo lile lilikuwa kama kupiga chura teke sio kwa kuipaisha vile.Mange ni queen of social media hapa Bongo ,anashawishi hadi misukule makaburini hahahaha
Kiukweli ule wimbo bila Mange usngehit kihivyo lile lilikuwa kama kupiga chura teke sio kwa kuipaisha vile.
Sent using Jamii Forums mobile app
next time don't do that plz
hadi nmetapika asee
Kiukweli ule wimbo bila Mange usngehit kihivyo lile lilikuwa kama kupiga chura teke sio kwa kuipaisha vile.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya Alikiba siku ukienda kwenye show Marekani umpelekee Mange hata dera la shukrani kwa hiyo promo
Anagonga 2M ila Mange ni balaaa!!!
Sio kwa Pande lile alilompigiaa!!
Mange ana60%ya hiloo!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli... maana si kwa kampeni ile
Halafu Too bad nasikia Domo katapika insta itazidi kumpoteza...ngoja nikasake huu ubuyy