Kwa taarifa nilizopata hiv karibuni kutoka kwa mtu wa karibu wa Alikiba,kibabude kumbe Alikiba ana ngoma na msanii ambaye anafanya vizuri duniani Rihanna ipo kwenye store lakina Kuna ngoma pia Alikiba kashiriki wa na Wizkid ( Wizkid ft Alikiba).Kumbe! Alikiba Ni msanii mkubwa Africa sema tu kwasababu apendi show off mpaka anashirikishwa Wizkid wakati Wizkid ndo anashirikishwa na watu.
Natamani nisikie hiyo ngoma na Rihanna
Stay turned #Team mziki mzuri