Ali Kiba Fans' Special Thread...

Shoga nimeshashtuka hilo li video ni libovu au li audio ndio maana analazimisha hivyo.
Ingekua nzuri wala asingehangaika...
 
Haya sasa....tukisema sisi tunasemwa tuna roho mbaya, tuna chuki na mambo kibao.
Halafu nilishtuka tu kua hiki kitu ni kibovu ndio maana tunalazimishwa hivi kukiangalia.

Tukiwaambia King kiba ndiye bora watu wanakataa, lile ni jeshi la mtu mmoja, hategemei collaboration wala nini lakini anakimbiza.

Hizo collaboration zenyewe anazozitegemea anafunikwa vibaya sana.
#UkweliWakoUmekuwekaHuru
 
Mi hata sijaiangalia najua haina jipya too much collaboration with nothing new. Sauti yake haiwezi kuendana na wasanii wengine mana hana pumzi anakua anahemea juu ka bata aliyekimbizwa.
Hyo ya waje sauti haisikiki kameza maneno.
Tena bora ajipumzishe na mi collabo mana hana jipya kila sehemu anafunikwa. Wanamziki wengine mziki wao tofauti ndo kama naona watu wakimchoka tu kirahisi.
#NakedTruth
 

HAHAHAHAHAHAHA



USHANYOOSHWA HUNA HATA CHEMBE YA SABABU KUSIFIA UKALI WA MONDI BIN LADEN

NA BAAADO

#fullminyoosho
#wapiwazeepori ???
#amSoWandaaaaz
 

team tembo mmekaaaa

TMJ ITAZIDI KUWAPOKEA KWA WINGI SANA

SIO KWA MINYOOSHO HII
NA BAAAADO!!!
 
Oooh ringa kidogo...


agha mwendawazimu kaingiaje???

HESHIMA LAZIMA IWEPO!!!!
 
Ngoma kaliii kinooooma aiseeeeh shout out 2 rais platinumz kwa kuwafunika kupiniiiii...kawiseeeeeee
 

hahahaha bado mahangover ya kutosha...

MNABAKI KULIALIA HAPA

ooh ITV ,

TATIZO NYOTA YS PORI, HADI DJ WA DANGOTE AU KIFESI UMAARUFU WAO INTERNATIONAL LE KIMBAZ HAFIKII HATA ROBO ENDELEENI KULIALIA HAPA





MTANYOOKA TU!!
 
CC: Th Name unaitwa huku na #KakaSketi wako kakumiss zaidi ya jana...
Mie simo!

Kwa hiyo unamkataa ambassador kutoka WCB maneno adimu hayoo ohooooo nakutoa gundu la porini hutaki??

KAKUNYOOSHA MONDI BIN LADEN
HASIRA ZOTE ZINAKUJA KWANGU HAAAYA
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…