Salamu kwa bibie nifah zimefika kabisa worry out.Teh teh MTV wa intaneshno recognized na wa wish all the best you tujiandae kudorishiwa au kunywa juice ya ukwaju.
Na muuza njiwa atarudi sa ivi imebidi wapoe ka maji ya mtungi wanasubiria tuzo tu. Yani na Mimi nampenda Yemi yalade ashinde nyimbo zako hunikosha sana tu.thread itavamiwa na alshababi hii wakichukua ila naamini davido hata tuangusha mana wizkid hata kura hakuomba xo davido atatutoa kimasomaso ! #kiba junior
we jamaaa una ushabiki maandazi sana kwa hiyo j martins ni msanii mdogo au kcee sasa mi nakwambia hayo mambo ya collabo ndo yanawapoteza wasanii wengi kwenye soko la ndani kama AY dbanj
halafu hivi kama shetta na dimpoz wamefanya collabo na wanigeria kiba anashindwaje???
Hashindwi ni suala la connection tu.. dimpoz kaunganishwa na ay, shetta kaunganishwa na diamond.... akiomba msaada na yeye ataunganishwa kama vipi, dangote sio mchoyo kabisa
Halo halo ya gazeti ushuzi!
Kiba ni msanii mzuri(ingawa sio mbunifu kivilee), na itakua vyema akifika panapostahili kwa faida ya mziki wa bongo, na east africa kwa ujumla, ingawa bado namuona mzembe kwa kushindwa kukomalia mwanya aliopata kipindi kile. Diamond alipopata tu nafasi ya kupiga collabo na mtu mzima davido safari yake kimataifa ikaanza rasmi, na mpaka sasa anawakilisha vyema...
Mkuu hio sio ishu ni kitu kidogo saana.. Ndio maana mtv hawamfahamu kiba mpaka leo, trace ndio kwanza wameanza kumjua na chekecha last month... Watu wanashindwa kutofautisha kuiwakilisha nchi, kukuza sanaa na kufanya project na msanii wa kimataifa...
Mkuu hio sio ishu ni kitu kidogo saana.. Ndio maana mtv hawamfahamu kiba mpaka leo, trace ndio kwanza wameanza kumjua na chekecha last month... Watu wanashindwa kutofautisha kuiwakilisha nchi, kukuza sanaa na kufanya project na msanii wa kimataifa...
Huyo Ay unaomzungumzia ndio baba aliotutobolea huko, (na jide japo si kama ay)... ila kwa kibakuli hakuna kitu hapo huwezi zungumzia misic life kwa wimbo 1, ambao si wako, haujakupeleka popote, na ni project tu(airtel) wala sio collaboration kusema hata impe tuzo... Mtaishia kuota...
KAPIGENI KURAAAAAA KWA CHIBU DANGOTE LEO NI SIKU YA MWISHO AMMA NINI.. AFU IJUMAA TUSUBIRI ILE COLLABLE YETU ALIYOSHIRIKISHWA CHIBU
mkuu umeangalia lakini ule wimbo wa one8 (hands across the world) kila msanii kashika bendera ya nchi yake akiwemo kiba wa kwanza kuimba go n see it!
wallah ndo imekuwa kama kisingizio et kiba hajulikani mtv c zarau hizooKiba atajuta kushiriki one8
wallah ndo imekuwa kama kisingizio et kiba hajulikani mtv c zarau hizoo
wanaboa bwana nawapotezea lakinii waapii bado wanazidi upuuuzii but lets ignore themTufanye kama Kiba hajulikani popote hapa duniani.
Nadhani ndo wanachotaka kusikia.
Ivi kubishana na hao mipapa huoni kazi?
wanaboa bwana nawapotezea lakinii waapii bado wanazidi upuuuzii but lets ignore them
mkuu unafuatilia vizuri mziki au unafuata mkumbo kama bendera???