Tena sio kidogo ujue!!! Hadi wanaban watu bila sababu, hivi ni kweli kumbe Kiba anawauma watu this much!! Wamemfitinii wee wakaona haitoshi basi ndio wameamia na jf, walianza kwa kufuta comments bila hata sababu za maana sasa wamekuja na gia mpya ya kuban watu humu, like serious!!!!