Ali Kiba Fans' Special Thread...

Kizuri hakichoshi..mziki wa king si big G kama wa yule

Hivi unaanzaje kuchoka mziki mzuri kutoka kwa Le King? Yaaani huo unacheketua hata miaka mia na hauchoshi, ila lazima washangae haya ni mashikolo mageni kwao maana taarabu zao huwa hazilast hata wiki, so jaka moyo linawakaanga hatari
 
Hayaaaa chekecha cheketuaaaaaaaa
Daaah muziki wa kweli hata hauchoshi yaani, hata mtafute sababu zote duniani the truth is, Kiba's music lives, na hilo linanifanya nijue kweli kilichobora kinajiuza, kibovu sasa watu wanatumia nguvu kweeeeli kukitembeza kila mahali, lkn wapi kinasanda tu, keep it going King.
 
Watutolee ndumba zao huku. Wachawi wakubwa...
Babu tale anajua kuaibisha watu jamani ndo nini kuweka wazi vile.
Team domo wanaona aibu balaa hahahaaa

Yaani za mwizi huwa arobaini tu, acha waendelee kuumbuka.
 
Jana bosi wao kawashushua kawaambia uzalendo unatoka moyoni na sio kwa kulazimishwa. Kila mtu ana haki ya kuvote kwa anayemtaka waache kuforce watu kumvotia yeye hahahaaaa limewashukaje

Aiiiii basi na tucheketue tu kwa raha zetu.
 
Hayaaaa chekecha cheketuaaaaaa


Habari yako mtani? Karibu futari!
 

Loh! Kiba is real killing me. Yani hlo jisongi mweeh limenikumbusha mbali sana Kiba unajua sana sijui nani humtungia hayo maishairi.

Kama ya cheketua hasa anaposema nikuite princess.

Kweli sijuti kuwa #teammuzikimzuri .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…