Wazee wa mashindano at work, hawa watu kwa kula matapishi hawajambo, kila siku huwa wanajifariji kuwa hawashindani na King, ila wanachofanya ni quiet different, hiviii kumbe Kiba anawasumbua kiasi hiki!! Ila ndio vizuri maana ndio mnazidi kujidhihirisha kutokujiamini kwenu, mtapanik sanaaaaa ila King hana habari anafanya yake tuuu.
Nyie hangaikeni weeee ila ndio mnazidi kumpaisha yaani, na mnajua ni jinsi gani he is baaaaad, he cant let you sleep you know, hollaaa at King.