Sasa >> nana media tour Nigeria
3, july >> Nigeria road to mama
4, july >> Tanzania, sherehe ya miaka 80 ya
Yanga, jangwani
8, july >> Singida, with Mohammed Dewji
18, july >> South Africa, MTVMAMA2015 ambapo
atatumbuiza na NEYO
24, july >> Kilimanjaro Miss ambassador ambapo
show inaweka rekodi kuwa na viingilio vikubwa
nje ya dares salaam
30,000/=, mpaka 300,000/=
25, july >> South Africa, African achievers awards
ambapo amekuwa nominated kama Most
inspiring icon
daah braza heshimu imani ya Mtu bosi,anae jua funga ya kweli ni Mungu peke yke na si vinginevyo sio busara kuanza kutoa hukumu za kipuuzi.
ukianza kui ngiza haya mambo ya kufunga mara nini sijui utakua unawakoseA waislam wote walio funga wanao ingia jf.
tuheshimu imani za wenzetu hata km ni wa team tofauti na yko.
jf tunapita tu!
Aiseeh nimwamiss pia. Nipo wangu, ila tight tu ndio inafanya nikosekane hapa.
Ova
Yani hii video nimeipenda sana idea yake iko simple hadi matukio yako well arranged. Hasa hapo kwa hyo redio ya kizamani magari hadi uvaaji.
In short hii video imenikosha I love the idea.
Lazima mjue kutofautisha kati ya
+Anaetoa video kali ya kimataifa level za mtv na bet awards kwasababu anauwezo na kipaji
+Anaetoa video kuepuka lawama za mashabiki kumbe ndio anawaongezea mzigo wa mawazo
Hata hivyo mlikuwa mnafikiria nini mlivyokuwa mnamlazimisha atoe?? ndio maana alikuwà anasita ALIKUWA ANAOGOPA HAYAHAYA HAHAHAHA
Pole kwa ban ma dia. Watu wengi wakiishiwa hoja hukimbilia kutukana matusi kwa wazazi na viungo vya uzi, too low.
Kumbe ulikua hujui licha ya fake id watu wana michukii ya hatari kisa tu kutofautiana ushabiki.
Wale watu nimegundua wana matatizo binafsi ambayo inabidi tu tuyavumilie kwakweli, thats the way they r even in their real lives, nimewahi shuhudia wakigeukana humu na kuchambana hatari, nikapigia tu mstari, hivyo yaani siku hizi nawadharau hamna mfano.
Yaani kila nikiiangalia am falling in love with it again and again, the best video of the year, hutaki nenda kacheketue huko.
Teh teh teh na point yako ni IPI mbona unajichaganya mazeee
yaani mie wantukane viungo vyote mradi vyangu sijali ila mtu anakuingizia mzazi hv hizo akili matope..?
binafsi mwanzo nlikua naonaga utani vile watu wanavyosemaga kua kuna chuki za kweli but nimeamini nlivyopigwa ban dah
poleni msionipenda wote kisa aly k ila mia nawaona mko chini ya kiwango tujengeni hoja na wala si kuingiziana wazazi mid sina kinyongo na mtu na ntadeal na wewe but not ur parents
matusi sikatazi maana hayo labda ndo maisha yake ya kitaa
tumetofautiana mazingira tunayoishi huko uswahilini
waekee hiyo mpaka waelewe sio gazet la udaku ni la michezo ila limemchagua kingkiba nisaidie kulisambaza nyuzi zote wanazomponda kingkiba
Yani hii video nimeipenda sana idea yake iko simple hadi matukio yako well arranged. Hasa hapo kwa hyo redio ya kizamani magari hadi uvaaji.
In short hii video imenikosha I love the idea.
Bora hata gazeti lenye heshima limeandika ingekua udaku wange bweka kweli kweli.
hahahaaahaaa asanteee...na kuchambana wenyewe tena mabiggg.....!!ungetag mbea mie niongeze siku za kuishi...!!!