sawa nifah ila nindolee kedrick
Hahahaaa, hiyo ni nazi yetu hapa.Wewe akija usimjibu wala nini...
Atajisemea weee mwisho ataondoka.
Hao wengine hawamjibu maana hawamuoni, wewe kama hutaki kumuona muweke kwenye ignore list.
My dear cute b, asante kwa kuliona hilo.Binafsi sina hata muda wa kumfuatilia ili nijue yeye ni nani.
Ni upuuzi kumfuatilia mtu nisiyemjua, na nikihisi pia najichumia madhambi.
Halafu nimfuatilie ili iweje? Na mimi si nitakua mwendawazimu zaidi yake?
Yeye aendelee kunifuatilia tu maana hana jinsi zaidi ya kunisoma, halafu hana ujasiri wa kunikabili inabidi akalie lie huko ambako hata siendagi hadi niambiwe kama hivi.
Unamuona huyu
huy baba chizi huyu...!!
Achana na huyo mfa maji msengerema le takozzz..
Unamwona kwa ajili hujamweka ignore list mweke na wew. Mimi sijamuona ata. Kwani kasemajeee.
Mweke ignore list
Shoga na wewe leo umepatikana? Naona post yangu ya ule uzi wa umbea imehamia hapa!
huy baba chizi huyu...!!
Jamani huyu tutusa asiwape shida, ameshasikia tetesi kua Kiba kesho atazoa tuzo nyingi ndio maana kaanza kulialia.
Na nyie Kill Musis Awards tunaomba kesho mfanye fair, hujuma yoyote hatutoivumilia na tutazipotezea hizo tuzo zenu.
Haiwezekani tupige kura halafu tunyiwe haki yetu kisa kichaa fulani aliyetumwa na watu fulani kalalamika.
Acha tuu mamy....nimeshangaa..ivi kudelete post ndo unafanyaje?
Tuachane nae tutusa huyo, tunachotaka ni hao Kill watupe haki yetu.
Maana wenyewe walikiri kushangaa watu wengi walivyopiga kura mwaka huu tofauti na miaka yote.
Ivi mamy izo kura za MTV Unapiga?
Mimi kusema kweli nikipiga nitampigia vanesa tuu domo haambulii kitu maana kura nitampigia afu atakuja kujitapa humu akuuuuuu
Mimi mbona nimeshampigia na Wzkid kama msanii bora wa kiume?
Nimeshamliza zamani na nitapiga kadri ya uwezo wangu, chezea mimi wewe? Ndio maana watu wananimwagia mapovu ninavyowapa vihoro.
Kumbe unaeza ukampigia ata msanii ambae hayupo nchini kwako?
Ebu acha nifate izo link zao nimpigie davido maana kweny IG yake naona tim domo wanapambana wanamwambia domo kamzidi
Mimi mbona nimeshampigia na Wzkid kama msanii bora wa kiume?
Nimeshamliza zamani na nitapiga kadri ya uwezo wangu, chezea mimi wewe? Ndio maana watu wananimwagia mapovu ninavyowapa vihoro.
Jamani huyu tutusa asiwape shida, ameshasikia tetesi kua Kiba kesho atazoa tuzo nyingi ndio maana kaanza kulialia.
Na nyie Kill Musis Awards tunaomba kesho mfanye fair, hujuma yoyote hatutoivumilia na tutazipotezea hizo tuzo zenu.
Haiwezekani tupige kura halafu tunyiwe haki yetu kisa kichaa fulani aliyetumwa na watu fulani kalalamika.