Kanunua feki??? Hahahhhhaaaa we si ulisema jana anavaa orijinale tu?? Ole wake na zile ndula zenye lebel ya.yeezy kama ni feki mbona atamtambua?? Hahahaaaaaaaaaaaa mbona kabadilisha post sasa kaandika stylist hahahhahah! Wazee wa DNA
Aisee yaan mtu yupo marekani ana gombania shati la mtoto wa tandale ka design yeye aisee halafu huyu designer anavalishaga august alsina cjui mnamjua huyo msanii august 😀
Aisee yaan mtu yupo marekani ana gombania shati la mtoto wa tandale ka design yeye aisee halafu huyu designer anavalishaga august alsina cjui mnamjua huyo msanii august 😀
Tumia akili hapo kuna kitu kimefanyika sio bure why huyo jamaa firstly alisema kua hajatengeneza hyo product halaf baadae aseme ni yake...nyie timu domo weng ni mambumbumbu sie tushaelewa hapooo..hamna jipyaaa
Tumia akili hapo kuna kitu kimefanyika sio bure why huyo jamaa firstly alisema kua hajatengeneza hyo product halaf baadae aseme ni yake...nyie timu domo weng ni mambumbumbu sie tushaelewa hapooo..hamna jipyaaa
Then we mbwiga me sibishani tena na vilaza wa darasa la pili D...wahi karume ukapige debe la mitumba utakosa hela ya pango ya kibanda chako cha njiwa...