Ali Kiba Fans' Special Thread...

Mwenye interview aliifanya Leo Ali kiba e.FM n gadner anipe ripoti plz au mlikuwa hamjui alikuwa ana interview
 
Sio umaku c useme alichosema me nilikuwa chuo au ujackiliza halafu una jiita shabiki wa kiba

Kumbe ni kamwanafunzi wew...ndo maana UN ofer zinakupa wenge...
Alisema ivi....yeye ndo mfalme tz na nje ya nchi afu ushindi kwake n lazma...sasa nyie ma maku na wangese mjiandae kurwafi na mashetani maana mnawashwa minduku sana sana wew chakubimbi
Nazani umeelewa
 

Me n mwanachuo c mwanafunzi vp video ya chekechua chekecha n collabo za wasanii wa nje
 
Inawezekana ww ndo chizi una mfanishaje diamond n kiba kiba ashidane n wakina rich makoko, baraka da prince, best naso sie tupo international

Chizi at work utapatwa na maradhi ya mfadhaiko bure kuhusu kiba.
 
Mimi tokea jana sina hamu nao hawa.Halahala tu na ma baby zetu jamani!

Saivi dawa ni kutokumjibu.. au tumwambie alieanzisha huu uzi amweke kwenye ignore list maana sasa kana kera na mipicha yake ya wanyama pori
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…