Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,410
- 82,323
Huu uzi mrefu sijasoma wote,nimesema mkito nkimaanisha downloads ziko juu za ally k mpaka mtandao ulibuma mbna unantoa kafara binti wee😱
Usiumeume maneno...tokea jana nakuona mienendo yako unadhani sikuoni unayoyafanya?pale ulitaka kunitoa kwenye mood ili nishambuliwe ufurahi....siwezi kukutoa kafara wewe kifaranga nataka yanayojiita majogoo na mitetea