tena umenikumbusha, we @ms.lincolin hivi una project gani cku hizi hata hauonekani nyumbani??? wachelewa kurudi na ukirudi hata haukai umeondoka!! hiyo sio mienendo ya king's family kabisaaa!!!!
Kwi kwi kwi...mimi ni kama bibi humu, mlezi wa familia! Mlezi wa familia huwa anaoza wenzie yeye anajisahau....
na unavyopenda umbea sasa usingizi utatoka wapi???!!!
Kwi kwi kwi...mimi ni kama bibi humu, mlezi wa familia! Mlezi wa familia huwa anaoza wenzie yeye anajisahau....
we jizeeshe tu kutupumbaza hapa!!
hahaaaa!! furahi uongeze siku za kuishi mama
Nakupenda weewee....
Nakufikiria weeewee...
Lini nitakuona weeewe...
Wife wa dunia nakupendaaa
tena umenikumbusha, we @ms.lincolin hivi una project gani cku hizi hata hauonekani nyumbani??? wachelewa kurudi na ukirudi hata haukai umeondoka!! hiyo sio mienendo ya king's family kabisaaa!!!!
Yaani nasikia raha mpaka nasinzia
hebu muache apumue kidogo jamani, mwisho atasahau kama yeye ni mwanafamilia pendwa ya kifalme
Haaa! Kuna mahali nlishikika kiumbeya afu nabanwa sana, mama mambo naona mazuri nyumbani....yani kawimbo katamuuu
Haaa....akyanan tena.Umri umeenda....
Heheheheeerrr siku hizi umekua mbea jamani!Hadi nakuogopa kwa kweli...lol
Mambo mazuri si unaona tunavyoicheza harusi hapa?
Heheheheeerrr siku hizi umekua mbea jamani!Hadi nakuogopa kwa kweli...lol
Mambo mazuri si unaona tunavyoicheza harusi hapa?
nifah hata sisi typo real Sana acha tu.
Yaani nasikia raha mpaka nasinzia