Ali Kiba Fans' Special Thread...

Umeona eeeh??!!
Hichi kitu King anatakiwa kuwa nacho makini sana, maana hiyo style sio nzuri kiivo.

Anyways....my bed needs me now, good night dear!

hii kwakuwa nimeiona now inabidi nijibu gud morning Avemaria
 
Last edited by a moderator:
Hivi huyu Misago kamruhusuje kuingia ndani? Nilikuwa naona hata aibu kuangalia tv alivyokuwa anacheza japo nipo pekeyangu,matiti kayaachia yanataka kutoka nje, sijui Kiba kafikiria nini kuja na hizo malaya.

Missago n alshabab (Rijal)
 
Nature aliingiaga na ndala Misago akamfukuza but huyu malaya aliyekuja kutuonyesha matiti na upaja anamfurahia tu duh

Utaingiaje ofisi za watu na ndala ! Uhuni mwengne uishie Tandika uko
Ila mavimini hata ikulu yanaingia
 

Sifa zimemwingia mkariakoo anaanza kuzngua sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…