Kwanini aachie ngoma mbili jamani?
Mi huo mpango haunibariki kabisa, obvious ngoma moja itapotelea tu hewani. Mpaka leo nyimbo ya kimasomaso inaniuma aiseee, ile sauti mule na yale mashairi mweeeeh but haisikiki. Kiukweli naipenda sana hiyo nyimbo, huwa natamani ingekuwa na video yake.