Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,936
Mwanamuziki anayependelea kusafiria nyota ya Diamond Platnumz kwa kugeza ideas zake na kuzibadili kidogo, sasa anapanga kuzindua 'brand' ya nguo zake za KingaKiba (Jeans, Viatu, Tshirts) pia atazindua na 'energy drinks' zake.
Utakumbuka Ali Kiba anapenda league na Diamond maana ndio inasababisha azidi kuzungumziwa.
Utakumbuka Ali Kiba anapenda league na Diamond maana ndio inasababisha azidi kuzungumziwa.