Ali Kiba anaongoza kwenye shindano la African NAFCA

SHABANIMAVOCHA

JF-Expert Member
Feb 13, 2014
320
65
Kama kawaida anayejua bado anaongoza kwenye shindano la African NAFCA. Yaani categories zote 3 ni Kiba, Kiba mara Kiba.

Kila siku mi nasema hakuna simba anaeishi mjini labla awe anafugwa so yule anaejiita simba anafugwa na Kiba yaan ni KIBA + KIBA * KING KIBA.

Check kura hizo

Screenshot_2016-07-15-10-15-08.png
Screenshot_2016-07-15-10-14-26.png
Screenshot_2016-07-15-10-12-44.png
 
Back
Top Bottom