Ali Express wanakuletea mzigo wako hadi ulipo kama DHL?

Ali Express wanakuletea mzigo wako hadi ulipo kama DHL?

Ragita

Member
Joined
Apr 11, 2020
Posts
5
Reaction score
3
ALI EXPRESS WANAKULETEA MZIGO WAKO HADI ULIPO KAMA DHL ?

Wakuu naomba msaada wenu kulielewa hili,
Ni mara yangu ya kwanza kununua na kutuma/kuletewa mzigo nilionunua na Aliexpress badala ya DHL ambao hukuletea mzigo hadi ulipo.

Swali langu jea hata hao aliexpress huleta hadi nyumbani ? au unafuata office kwao ? au postal office ? na hizo office zao au mawakala wao kwa Dar zipo wapi ?
 
ALI EXPRESS WANAKULETEA MZIGO WAKO HADI ULIPO KAMA DHL ?

Wakuu naomba msaada wenu kulielewa hili,
Ni mara yangu ya kwanza kununua na kutuma/kuletewa mzigo nilionunua na Aliexpress badala ya DHL ambao hukuletea mzigo hadi ulipo.

Swali langu jea hata hao aliexpress huleta hadi nyumbani ? au unafuata office kwao ? au postal office ? na hizo office zao au mawakala wao kwa Dar zipo wapi ?
Posta unaenda kuchukua
 
Ulipaswa kwanza uulize DHL na Aliexpress ni vitu gani? Ukishafaham ndio uandae swali lako sasa...
 
Mtoa mada wala hujui tofauti ya Aliexpress na DHL
 
ALI EXPRESS WANAKULETEA MZIGO WAKO HADI ULIPO KAMA DHL ?

Wakuu naomba msaada wenu kulielewa hili,
Ni mara yangu ya kwanza kununua na kutuma/kuletewa mzigo nilionunua na Aliexpress badala ya DHL ambao hukuletea mzigo hadi ulipo.

Swali langu jea hata hao aliexpress huleta hadi nyumbani ? au unafuata office kwao ? au postal office ? na hizo office zao au mawakala wao kwa Dar zipo wapi ?
Ali express ni wauzaji tu.
mizigo toka China kuja Tanzania inaweza fika 1. DHL 2.Fedex 3.EMs na local companies zipo tatu
hizi local wanakupa address yao ya ndani ya China ili aliexpress waweze kutuma mzigo wako ndani ya china.kisha wao wataufikisha Dar na kukujulisha ukifika.
mimi natumia hizo njia zote ila kutokana na uharaka wa mzigo husika.
 
Back
Top Bottom