Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
Wadau hii imekaaje ? au ndio yale ya Mwakyembe ?
H@ki Ngowi: Sheikh Yahya Hussein Atabiri Viongozi Kutekwa Nyara
PRESS RELEASE
VIONGOZI KUTEKWA NYARA
UTABIRI WA MWEZI APRILI:
"Kuanzia tarehe 19 April na kuendelea hadi July, viongozi wa siasa na wafanya biashara maarufu wajichunge kutekwa nyara na kuibiwa, wao wenyewe na kufanywa kama bidhaa.
Viongozi hao wachukue tahadhari nyakati zao za kutembea na wanaposafiri kwani pana uwezekano wasirudi, utekaji nyara huo ni wa viongozi tuliowataja na wasijiamini wanaposafiri au wakiwa kwenye mikutano wasiwe peke yao na wawe na mipangilio ya tahadhari nyakati zote. Nyota pia zinalenga wake na masahiba ya viongozi hao mashuhuri".
Sheikh Yahya Hussein.
Mnajimu Mkuu Afrika Mashariki na Kati
VIONGOZI KUTEKWA NYARA
UTABIRI WA MWEZI APRILI:
"Kuanzia tarehe 19 April na kuendelea hadi July, viongozi wa siasa na wafanya biashara maarufu wajichunge kutekwa nyara na kuibiwa, wao wenyewe na kufanywa kama bidhaa.
Viongozi hao wachukue tahadhari nyakati zao za kutembea na wanaposafiri kwani pana uwezekano wasirudi, utekaji nyara huo ni wa viongozi tuliowataja na wasijiamini wanaposafiri au wakiwa kwenye mikutano wasiwe peke yao na wawe na mipangilio ya tahadhari nyakati zote. Nyota pia zinalenga wake na masahiba ya viongozi hao mashuhuri".
Sheikh Yahya Hussein.
Mnajimu Mkuu Afrika Mashariki na Kati
P.O.B0X 21250 DAR ES SALAAM
TEL: +255 75 4672464
TEL: +255 75 4672464
H@ki Ngowi: Sheikh Yahya Hussein Atabiri Viongozi Kutekwa Nyara