Algebra

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,108
18,325
f(x) =y.

where
x= msichana mwenye umri wa miaka 18-20
y= Mwanaume mwenye umri wa miaka 32+

Maana yangu ni hii maturity ya x ni sawa na y. Hii ina maana kuwa mwanamke wa miaka 18-20 anaolewa na mwanaume wa zaidi ya miaka 32 na wanaishi kama wanaumri sawa. lakini si rahisi mwanaume wa miaka 18 kuoana mwanamke wa miaka 32+, bado anaakili za kitoto.

Hivi ni kwanini??, Au wanaume tunaupungufu fulani , au tunakua taratibu ila tunaishi zaidi ya wanawake??

Najiuliza sipati jibu.
 
Kwene vitabu vya Mungu mwanaume aliandikwa kuwa ni kichwa cha nyumba. Iweje wewe unataka awe na umri mdogo kuliko mwanamke? Jibu swali.
 
Inadhihirisha kuwa mwenzetu hesabu zimekupita kushoto. Siku nyingine acha kuingiza madoido ya vitu usivyovijua.
 
f(x) =y.

where
x= msichana mwenye umri wa miaka 18-20
y= Mwanaume mwenye umri wa miaka 32+

Maana yangu ni hii maturity ya x ni sawa na y. Hii ina maana kuwa mwanamke wa miaka 18-20 anaolewa na mwanaume wa zaidi ya miaka 32 na wanaishi kama wanaumri sawa. lakini si rahisi mwanaume wa miaka 18 kuoana mwanamke wa miaka 32+, bado anaakili za kitoto.

Hivi ni kwanini??, Au wanaume tunaupungufu fulani , au tunakua taratibu ila tunaishi zaidi ya wanawake??

Najiuliza sipati jibu.
32yrs anahofiwa kuzeeka mapema kabla ya mwanaume,pia chances za kujifungua salama kama ataja kuwa na miaka 35,huwa kuna hofu ya complication,then wanawake wana ma confidensi mengi kuliko ma men
 
Japo sio muumini wa dhehebu la "hisabati" lakini sijashindwa kujua unachanganua kuhusu "umri na mahusiano kati ya mvulana na msichana"
Ni kweli umri umekuwa unauzito flani, hasa kwa jamii zetu za kiafrika. Kwamba lazima baba ndio awe mkubwa (ili kuendeleza mfumo dume??).... Ila inaonekana kuna point nyingi za kuhalalisha kuwa mwanaume awe mkubwa kwa mwanamke miongoni ni kuwa eti mwanamke anawahi kuzeeka,
Binafsi napinga kidogo ili kwa sasa kuwa, sawa umri mkubwa kwa mwanaume ni muhimu ila kisiwe kigezo kikubwa cha kumkataa mtu mwenye upendo wa dhati.... Kwa nyakati tulizo nazo hata "life expectancy" hamna hyo nafasi kubwa ya kufika uzeeni, pia kwa case ambazo zimekuwa nyingi sasa mwanaume unazeeka sana na bado msichana ni binti, matokeo yake vijana wa mtaani wanakusaidia matokeo yake magonjwa.
Mapenzi yakiwa kigezo namba moja katika mahusiano..... Mambo mengine yote (ukiwemo umri) yatakuwa ya kupita tu na hii inahalalishwa na msemo wa Aaliyah "age aint nothing but a number"
Na kweli kwenye formular zako umecheza na "number" lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom