Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,226
- 68,242
Ukizungumzia “Sports anchor” yaani muongoza kipindi cha michezo hakuna kama Alex Luambano wa Clouds FM.
Jamaa kwanza ni mkongwe sana kwenye Tasnia, ana utulivu mzuri, sio mropokaji.
Vilevile jamaa anajua kuanzisha mijadala motomoto ambayo huwapa nafasi wachambuzi aliokuwa nao kufunguka vizuri.
Huyu ndiye ananifanya niwe nasikiliza michezo hata kama hakuna jambo la michezo la maana hasa kipindi kama hiki ambacho msimu wa soka umeisha.
Kaka Alex Luambano pokea maua yako ungali hai, hakika unajua sana.
Jamaa kwanza ni mkongwe sana kwenye Tasnia, ana utulivu mzuri, sio mropokaji.
Vilevile jamaa anajua kuanzisha mijadala motomoto ambayo huwapa nafasi wachambuzi aliokuwa nao kufunguka vizuri.
Huyu ndiye ananifanya niwe nasikiliza michezo hata kama hakuna jambo la michezo la maana hasa kipindi kama hiki ambacho msimu wa soka umeisha.
Kaka Alex Luambano pokea maua yako ungali hai, hakika unajua sana.