Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Kweli aisee imagine umeibua kitu sasa then unajichomeka
Ni asubuhi anapotoka kuamkaWahenga walisema mwanamke mzuri anaonekana asubuhi kabla ya makeup ndo utaona ka sura kake kama ni kazuri au ngumu kama ya babu.
wahenga wasasa wanasema hakikisha unampleka swimming.Wahenga walisema mwanamke mzuri anaonekana asubuhi kabla ya makeup ndo utaona ka sura kake kama ni kazuri au ngumu kama ya babu.
Ndiyo mkuu, hapo ndo anakua na sura yake halisi.Ni asubuhi anapotoka kuamka
sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
Labda wa dar, ila sio wa mkoani huku chato.wahenga wasasa wanasema hakikisha unampleka swimming.
Daah aseeeh
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Wanawake wengine ni ving'ang'anizi na wabishi kukubali kuwa jua limekuchwa
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app