Alert: Kabla ya kumtongoza demu soma hapa kwanza

Infantry Soldier

JF-Expert Member
Feb 18, 2012
15,893
16,317
IMG_20170714_115942.jpg
 
Wahenga walisema mwanamke mzuri anaonekana asubuhi kabla ya makeup ndo utaona ka sura kake kama ni kazuri au ngumu kama ya babu.
 
Halafu nyie wanaume sijui mnatakaje., wanawake wasiopaka make up hamuwaangalii hata kidogo mnawapna nsyuka, mfn mzuri akiwekwa yule sijui ndo ebitoke mnaponda weeee! Tukiweka make up mnatukimbilia speed halafu mitandaoni mnajidai hampendi. Isingekuwa nyie kuwa picky na kudanganywa na make ups unadhani wangapi wangehangaika nao namna hii? Hamjitambui
 
Back
Top Bottom