Dah mamayangu aliniambia siasa mchezo mchafu sana bora nikawekeze sehemunyingine
sijui kama mnamsikia ama mmesikia alichosema albert msando clouds..simjuia hanijui na hatokaa anijue milele ile naona mnaongelea upande mmoja na kudhirisha sasa sio tu tundu lissu mnafiki na wanachama wa chadema huku wote wanafiki kama mlivyokimbilia kujibu
amesema tundu lissu ni mnafiki....akuna mwenye mamlaka ya kumfukuza zitokabwe....zaidi ya ile kamati yao kuu...sasabasi nani aliekuwepo siku tundu lissu anaongea swala la zitoo wote mnajua alisema wazi zitto si mwanachama wa chadema tena
kisheria ni popompo huyu hana mamlaka ya kumwondolea uanachama kama kamati kuu aijakaa kuidhinisha...
Mytake;
so far wanasubiri hiyo hukumu iandikwe apelekewe spika baada ya hapo spika anampa zitto wanarudi kwa ya kafulila ...sijui kama mnajua yalioendelea kw akafulila....tusiongelee kishabiki tuongelee kisheria akuwa na mamlaka ya kumsemea zitto kwenye vyombo vya habari hatakama sheria za chama zinasema hizo..zipo procedure za kumfukuza mtu..na kama mnamsikiliza albert anasema lissu akuwa na mamlaka ya kuropoka wakati vyombo husika avijakaa kuidhinisha hilo
kingine kuonyesha ana upopopompo wa sheria aliishia kusema ajui kama kamati kuu inakaa leo ama kesho;..so kumbe anajua kinachotakiwa kufanywa mbona anaropoka kwenye vyombovya habari zito kafuukuzwa unachama.....
Plpssssssssssssssssssssssssssssssssssss powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
sauti ya mungu sauti ya watu subirini mwezi wa tano....