Albert Msando apotoka tena


wewe kilaza mwambie huyo muhaini zitto atupe majina ya uswis
 
CHAdEmA lazima imwajibishe Msando ili kumsaidia kuwa huru katika kesi hiyo. Nashangaa kwa wakili na msomi kushindwa kiona mstari wa mgongano wa maslahi katika swala hilo.
 

Unapoongelea misingi maana yake unaongelea genesis.Unaongelea Origin.Huyo unayetaka nishirikiane nae atakua muasisi wake kwa kuwa ni mwanachama wa muda mrefu na ni kiongozi labda kama msamiati wa neno "Msingi/misingi" una tafsiri nyingine

Halafu;Habari mbaya kwako ni kuwa siwezi kukaa kimya kama mnavyotamani.Never!
 

Hii kesi iko kwenye maandalizi ya kwenda mahakamani. Wakili ni lazima kutumika.

Labda upeo wako wa Bavicha umeshindwa kuelewa nini kitafuata iwapo Kamati Kuu itakuwa mbogo...
 

You have chosen a very wrong side of history.

Its pity!

Juzi nilikuwa naangalia picha za harusi ya Mchange na nikasema ingekuwa vizuri Ben angehudhuria hii shughuli. Kuna vitu vidogovidogo unavikosea lakini vinakusukuma kwenye maamuzi ambayo madhara yake ni ya kudumu.

Jifunze kuwa tayari kusikiliza, usitake kuwa msemaji tu kila wakati. Wakati mwingine unaweza kuleta mabadiliko zaidi kwa kusikiliza.
 

Sio wao tu, Hata wewe unadhani huu utetezi wako ndio utahalalisha upuuzi wa kuchezea katiba?
 
Hii ndio shida ya kuwa kanjanja.Chadema ina watu wasomi wazuri,wachambuzi wazuri na wengine wengi tu.Mbowe ni nani abadilishe katiba bila ridhaa ya baraza kuu la chama?Usipende kutumiwa.Pambana jasho likutoke ule kwa baraka toka kwa Mungu.

Kanjanja ni wewe usiekuwa na kumbukumbu! Slaa alikataa humu humu jf yapata Mwezi sasa kuwa Chadema haijawahi kuwa na Ibara inayoelezea ukomo wa Uongozi. Watu wakaleta Katiba ya kabla ya mabadiliko ya sasa yenye kipengele hicho watu wakaumbuka. 'USISEME HAKUNA MWANGA WA JUA SEMA HUONI MWANGA WA JUA'. Wewe unakuja na uongo mwengine eti kipengele hicho kilibadilishwa kwa Baraka za Baraza kuu halafu unajiita Msomi?? Mpaka mtajane nani kafanya uhuni huu japo maji yakiwafika shingonio mtasema ' it was a Typing error'
 

This is nonesense.Usiushushe mjadala kwenye level ya picha za harusi.

Ambition za kishamba kabisa unazileta humu.Hii ni comment ya great thinker kweli?
 
Kijana kapotea moja kwa moja,na kujibu hoja kwa emotions baada ya kujua kapotoka. Nenda kaendeleze deal zako Arusha
 
1. Amekata rufaa bila kujibu mashtaka 11
2. Unajua kuwa kuna kuvuliwa uongozi mna hatua zake kikatiba paoja na kuvuliwa uanachama hatua zake kikatiba?
Kumbe na wewe ni hewa tu
 
hizi mbwembwe za kisheria zinatoka wapi kwa mtu ambaye amekiri kucheza mpira wa miguu chini ya meza? huwezi kucheza mpira wa kishetani halafu ukataka kujitetea kwa mbinu za namna hii. Kaka Msando kama ningekuwa na uwezo ningempa huyo Zitto adhabu sawa na aliyopewa JONG SONG huko korea kaskazini. adhabu mujarab kwa msaliti ni kifo.
 

Hivi mdongo wangu unajua maana ya neno kuwa principled? Unanikumbusha enzi za siasa za chuo kikuu ambazo inaelekea wewe bado haujaweza kumature... No wonder ukatengeneza emails za kina Mwigulu na Nchimbi kujaribu kusaidia propaganda zenu... typical students politics!
 
Wewe asante kwa ufafanuzi diwani huyu anatafuta umaarufu zito tunamtupilia mbali viongozi wa kamati kuu sio wajinga watu wenye akili anae mtetea zito hana nia nzuri na chadema kabisa
 
Nimerudisha Thread kutokana na upotoshaji unaondelea kutaka kwa baadhi ya wachangiaji "maalum" kwenye thread za Mwanakijiji na Yericko
 
Msando huwa napata taaabu saana kuona maamuzi ya haki na ya kumpa mtu haki ya kujitetea nyinyi mnaweka kipaumbele cha nafasi zenu katika chama

1. ningefurahi kama ungeniambia pale wanapo sadifu kama wewe si mkamilifui wakufanye nini.
2. kakosea wajibu wake kumuongezea vyeo au kumvua mpaka utetezi wake utakapotimilika na kuishawishi kamati kumrudishia nafasi zake.
3. nisadie kumuuliza zitto hivi ZILE PESA ZA KWENDA KUFUATILIA MABILIONI NJE YA NCHI zinatoka kwenye kamati ya POAC au ni mshahara wake wa kiuzalendo.
4. ni kweli ile ilikuwa kazi ya TISS lakini wakaamua kumpa yeye kuifanya ili awe kiongozi wa maslahi ya jamii.
mimi nauliza kama mwanachama ili nione kama ana haki au laaa
5. BEN sanane nisaidie kuniulizia vizuri
Nilipo kuwa Chuo na kiongozi wa Chuo kama Speaker sikupenda mtu kuonewa na badala yake nilitaka kujiridhisha kabla sijatoa final decision
 

Unaweza kuthibitisha ni lini na wapi nilikotengeneza E-mail za Nchimbi na Mwigulu?


JF is not a rumour-mongering site.

You are just another dolt looking for relevance.

Maturity na hizo old school statement unadhani zina uhusiano wowote na kuwa "Principled"?

Bado Unadhani maturity ni mvi?

So,Stop trying to hoodwink us with these oldlines
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…