Albert Msando apotoka tena


Ha..Ha..Haaa!!

Nijibu maswali yafuatayo..

Ni sahihi kwenda Serena Hotel kuzungumzia uliyoyazungumzia huku ukijua waandishi wa habari siyo walioshtaki hao waasi unaowatetea?

Pili Ukiwa kama Diwani wa Chadema ni sawa kabisa kufanya unachokufanya??

Kwanini nikupigie simu huku ukiwa wewe unatangaza mambo ya Chadema Serena Hotel??

Unapinga vijana wa UVCCM hawakuwa wanaratibu watu waliokuwa wanaingia mkutanoni Serena??

Huoni wanachadema makini wamekosa Imani na wewe??

Kwa hiyo ulivyoandika unakomesha tabia unayoisema ndani ya Chadema unamaanisha unakomesha tabia ya Mbowe,Dr Slaa na Kamati Kuu??.

Tuanzie hapo Mkuu..
 
I have no intention of putting my fate on politicians whom their only proffesional is conning voters_ my godfather,vitto corleone

They need to wet their beaks; but not through deeping them in our blood
 


Unapotibua mzinga wa nyuki huwapangii pa kuruka na pa kutua!!!!
 
Alizodoa nalo lipo kwenye kamusi ya Kiswahili...
Wanafunzi wako wanapata tabu sana.
 
hahahhahhaah!!!!!!!!!ukiona neno nimelitumia jua najua sio tu maana bali hata historia yake kwamba lilitoholewa wapi na msingi wake ni upi.
mie ni malkia nwa kiswahili fasaha uliza uambiwe dogo usikurupuke..........
nwa nalo ni kiswahili kazi kweli kweli...
 
Kwa hiyo Lumumba mmejiandaa kumrudisha madarakani?

Kukusaidia zaidi soma MAWIO la leo Uk wa 4
Molemo umesikia maneno ya Msando anakuambia inawezekana wewe ni CCM.
 

Tuhuma dhidi ya Zitto ni kutokana na Waraka wa Mwigamba ambao unasemekana ni Mkakati wa Ushindi wa Uchaguzi wa ndani ambao uliandaliwa kwa siri.

Mkakati huo kutokana na maudhui yake unasemekana kukashifu viongozi, kutoa tuhuma za uongo, kujenga makundi, kuchonganisha wanachama na viongozi na kutaka nafasi za uongozi bila kufuata utaratibu.

Lengo langu ni kuhakikisha taratibu tulizojiwekea zinafuatwa. Endapo ukiukaji wake unasababisha haki isitendeke na isionekana imetendeka hatuna budi kukubali kwamba tumekosea na kuchukua hatua stahiki kurekebisha.

Lazima tuaminiwe kwamba tunafuata Katiba na Kanuni zetu kama chama. Tunapokosea turekebishe. Sio dhambi kujirekebisha ukikosea. Ni ukomavu.
 
dharura sio haraka.......... naomba kunukuu
 
Naona CHADEMA FAMILY mkiongozwa na babu wa kulike mnavyomshambulia Msando, Hivi nyie na akili zenu kweli mlitaka Msando asimtete Zitto kisa eti yeye ni mwanachadema?! Kama hamjui Msando hapo yupo kazini hiyo ni taaluma yake. CHADEMA FAMILY hebu jitahidini kufanya walau kidogo tu kile mnachowaambia CCM (kutenganisha taaluma na siasa) Uwakili ni taaluma ya Msando jamani na hacheki upumbavu (Stupidity= lack of knowledge) wenu wa kumtishia kumfukuza.
Alafu eti mnapiga makelele eti kwanini alienda kusemea kwenye press conference kwa hiyo yeye hana haki ya kutumia press conference ila Mnyika na Lissu wana haki!
Zitto ni public figure na CHADEMA imegawanyika mara mbili CHADEMA FAMILY na CHADEMA HALISI nyie mambo yenu ya kifamilia yafanyieni huko huko kwenye familia yenu mkiwa mmejifungia chumbani/sebuleni but CHADEMA HALISI mambo yake ni ya wazi kwa jamii, na hii isssue iende hivi hivi ili mwisho wa siku public tujue mchele ni upi na pumba ni zipi!
 
molemo usimpigie huyo mpuuzi.. mwambie ampigie Zitto au mchange...
 

Albert,

Aya ya kwanza,Sijui huu upotoshaji una malengo gani.Hakuna mahali popote nilikosema anayetukosoa ni mwenzetu au si mwenzetu.

Hujajibu swali langu kuwa je,wewe kama mwanachadema halisi unayejua kanuni,maadili,itifaki na katiba ya CHADEMA unakubaliana na hizo rhetorics za vichaka vitatu?To me that's just another rhetorical hogwash.Wewe umekwepa kujibu

Pili,Utamtenganishaje Albert na wale wanaokidhalilisha chama kwenye media badala ya kufuata kanuni na taratibu?Yaani ushiriki mchezo huu moja kwa moja halafu unalaumu watu kufanya mjadala kuwa Albert na CHADEMA?

Albert,Wewe ni Msomi na unajua impact ya unachofanya katika Jamii na kama mwanasiasa unajua madhara ya unachofanya.Hao maadui zetu unawalaumu kama njia ya ku-blind watu na kutaka ku-divert attention na attitude za watu towards reality ya kile unachofanya/mnachofanya.

Hao maadui zetu wewe na wateja wako ndio mnawapa platform hii na hata hapa wanakupa sapoti na kuandika maaneno unayokubaliana nayo.Watu hao siku zote wapo huku wakiitukana CHADEMA,Pia nenda kasome magazeti ya maadui zetu uone jinsi walivyoshikilia bango haya mliyoyafanya jana pale Serena Hotel.Leo kweli unawalaumu maadui zetu?

Hebu tufikie hatua tuache unafiki.

By the way,Kulikua na haja gani ya wewe kwenda kufanya Press Conference badala ya ku-address hili ndani ya vikao?Kama wewe ni Mwanasheria wao tena kwa bahati nzuri ni Diwani,ni kiongozi na Mwanachama hai Wa CHADEMA,kwanini usifuate taratibu na hata kama ni utetezi ukaupeleka kwenye vikao?

Leo unalaumu wanaokushambulia?Hebu tuache unafiki Brother na tuweke maslahi ya taasisi juu ya urafiki.

Hebu Tuwe principled sasa!
 


Patriotism!!!!!!

Be blessed
 

Tumeanzia hapo kiongozi. Nasubiri maelekezo
 

Capito, lakini si walikiri kuuandaa huo waraka, je unataka kutushawishi kwamba waraka ule uliandaliwa na wakasingiziwa? Halafu si anasema ZZK hakupewa mashitaka yake kabla aliyakuta kwenye kikao, kwani alikuwepo kikaoni?
 
MI naona hata kumuonea wapige chini tu . Huyu Muha haaminiki tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…